Imewekwa kuanzia tarehe: December 27th, 2024
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni moja kukarabati majengo ya hospitali kongwe ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma pamoja na kujenga jengo la wagonjwa wa dharura na kununua vifaatiba hali ambayo...
Imewekwa kuanzia tarehe: December 26th, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi mbalimbali za Krimas kwa wananchi, hasa wale waliopo kwenye makundi maalum. Zawadi hizi zimewasilishwa ...
Imewekwa kuanzia tarehe: December 26th, 2024
Wananchi 3,136 wa kijiji cha Litindo Asili kata ya Luangarasi Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma kimeanza kupata huduma ya afya kupitia zahanati na vifaa tiba ambavyo vimetolewa na serikali ya Awamu ya Sit...