Imewekwa kuanzia tarehe: January 19th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma Mhe. Kisare Matiku Makori, amezindua rasmi kampeni ya upandaji miti katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Lusonga.
K...
Imewekwa kuanzia tarehe: January 19th, 2025
Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imefanya ziara ya siku mbili, kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea katika halmashauri hiyo. Miradi iliyotemb...
Imewekwa kuanzia tarehe: January 19th, 2025
Mkoa wa Ruvuma unatarajia kupanda miche ya miti ya aina mbalimbali 1,290,000 hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Januari 2025.
Miti hiyo inapandwa katika maeneo mbalimbali katika Wilaya zote tano za Mk...