• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CHUO cha Uhasibu Arusha kujenga tawi Songea Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: June 15th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amekabidhi hati ya Umiliki wa hekari 65 katika Manispa ya Songea kwa Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha .

Akizungumza mara baada ya makabidhiano  yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa amesema anayapongeza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Nayapongeza maono  na nia ya dhati ya Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan  na amiri Jeshi Mkuu kwa kutoa fursa ya kuwezesha  wananchi wafaidike katika Nyanja totauti”.

Ibuge amesema uwezeshaji unaenda kufanya  Chuo cha Uhasibu Arusha  tawi la Songea Ruvuma unawezeshwa kwa fedha nyingi ambazo ni za  mkopo imempendeza Rais kupitia Wizara ya Elimu kujenga chuo kikubwa chenye uwezo wa kubeba wanafunzi zaidi ya 4000.

Ibuge ametoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kuendelea kuwa na mshikamano ili kuwa na maendeleo chanya ikiwa ni Mkoa uliobarikiwa na kuendelea kufunguka kibiashara.

Amesema uwepo wa chuo cha uhasibu Arusha tawi la  Songea Ruvuma siyo fursa tu kwa vijana bali na kuongeza pato la Biashara  katika Mkoa na wananchi wake.

Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha Dr. Mwaitete Cairo mara baada ya kukabidhiwa hati na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amewapongeza  viongozi wa Mkoa wa Ruvuma kwa kutoa ardhi bure ili Chuo cha Uhasibu Arusha tawi la Songea Ruvuma kiweze kujengwa.

“Nawapongeza  Viongozi wa Mkoa  kwa kuona umuhimu na kutoa ardhi bure ili wananchi waweze kunufaika  ni chachu ya maendeleo washikilie kwa nguvu zote”.

Makamu Mwenyekiti wa Bodo ya chuo cha Uhasibu Arusha Joseph Mwigune amesema wapo tayari kuwekeza kuanzia mwaka wa fedha ujao ili kuhakikisha huduma inamfikia mwananchi kwa ukaribu.

Mwigine amesema ni maagizo ya Mhe. Rais  kuhakikisha huduma inawafika wananchi kwa ukaribu zaidi ikiwa kutoka Ruvuma hadi Dare es salaam na  Arusha pana umbali mkubwa na gharama kuwa kubwa kwa mwanafunzi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde na Jakson Mbano

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 15,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.