• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

IBUGE afunga mafunzo ya Sensa kwa wakufunzi

Imewekwa kuanzia tarehe: July 26th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amefunga mafunzo  ya Sensa ngazi ya Mkoa kwa  wakufunzi wa wilaya 257.

Mafunzo hayo ya Sensa yamefanyika katika ukumbi Chuo cha Ajuco Manispaa ya Songea, ambayo yalijumuhisha wakufunzi 257 ngazi ya Wilaya ambapo yanalenga kutoa elemu ya vitendo kwa wasimamizi 574 na  makarani 5674 ambao watashiriki kwenye zoezi la Sensa .

RC Ibuge amewaimiza Wakufunzi hao waende kufanya kazi hiyo kwa kufuata miongozo na maelekezo walio pewa na wakufunzi wao wa kuu kwani watambue kuwa Serikali imewaamini kwa kuwapa  jukumu la kusimamia zoezi la Sensa na Makazi. wao ni jeshi la Sensa kwa Mkoa wa Ruvuma.

“Tunarudia kuwaimiza kwasababu tunataka mkatende kile kinachohitajika tambueni ninyi ni Jeshi la Sensa  kwa Mkoa wetu ”.

Amesema Wasiamazi wawe  wazalendo na wakasimamie kwa weledi   kazi kubwa iliopo mbele kwa heshima ya Taifa na mkoa.

Kwa upande wake maratibu wa Sensa Mkoa wa Ruvuma Mwantum Athuman ameeleza kuwa mafunzo hayo ya Sensa yametolewa kwa siku 21 kwa ngazi ya koa kwaajili ya wakufunzi wa Wilaya.

Amesema vitendea kazi kwaajili ya zoezi la Sensa vimepokelewa vya kutosha kwaajili ya kuanza kazi  ifikapo Agosti 23,2022.

“Wakufunzi hawa wameiva na wapo tayari kwa kutoa mafunzo kwa Makarani ,wamefundishwa madodoso  manne ” amesema Mwantum.

Hata ivyo Mkufunzi Mkuu wa mafunzo ya Sensa Mkoa wa Ruvuma Sospiter Jibuge amewapongeza wakufunzi hao kwa kujitoa na kujituma kwa mdaa wote wa mafunzo .

Amesema  wakafanye kazi kwa kupita mafunzo waliyopata ndani ya siku 21 kwani kwa kutokufanya hivyo watasababisha Zoezi kuharibika .

Sensa ya watu na makazi inatalajiwa kufanyika J Agosti 23, 2022 Ikiwa Sensa ipo kikatiba na  itasaidia Serikali kupanga mipango yake ya kimaendeleo, Sensa  hufanyika baada ya miaka kumi na Sensa ya mwisho ilifanyika mwana 2012 .

Imeandaliwa na Aneth Ndonde na Jackson Mbano

Kutoka Kitengo cha mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Julai 26,2022.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.