• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUMO wa stakabadhi ghalani wawaingizia wakulima Songea bilioni nne

Imewekwa kuanzia tarehe: September 14th, 2020


Wakulima wa zao la ufuta na soya wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamenufaika na mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kupata zaidi ya shilingi bilioni 4 baada ya kuuza  mazao  hayo kupitia mfumo huo kwa msimu wa kilimo wa mwaka 201/2020.

Afisa Ushirika wa Halmashauri hiyo Bw Shekiel Massawe amesema  katika kipindi hicho cha msimu wa kilimo cha mwaka 2019/2020, wakulima wamefanikiwa kuuza jumla ya kilogramu 2,378,172 za ufuta na kilogramu 100,774 za zao la soya.  

Massawe amesema katika mauzo hayo Halmashauri imepata jumla ya shilingi milioni 259,462,700 kutokana  ushuru wa kuuza mazao kwanjia  mfumo huo.

“Stakabadhi ghalani ni mkombozi kwa mkulima kwasababu unampa mkulima uhakika wa soko na bei”,alisema Massawe.

Massawe amesema mfumo wa stakabadhi ghalani ni mkombozi kwa wakulima kwa sababu unamsaidia mkulima kuuza mazao yake kwa bei ya uhakika na kumwongezea kipato,upatikanaji wa soko,na kwamba  wanalipwa kwa wakati ndani ya siku mbili baada mnada kufanyika.

Ameongeza kwa kusema kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani umetoa uwigo mpana kwa mkulima kuuza mazao yake tofauti na awali kabla ya mfumo, na kwamba baadhi ya wafanyabiashara walikuwa wakiwanyonya wakulima  kwa kuwapangia bei wanazo taka wao.

Amesema Mfumo wa stakabadhi ghalani ulianza mwaka kwa lengo la kuwasidia wakulima kuuza mazao yao na upatikanaji wa uhakika wa soko na kwamba katika kipindi cha kunzia Mei 4 hadi Agosti 5 mwaka huu jumla ya minada tisa imefanyika.

Mazao yaliyopendekezwa kuuzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani ni ufuta, soya na mbaazi.Hata hivyo amesema kwa msimu wa kilimo wa 2019/ 2020 mbaazi hazikuuzwa kwa sababu wakulima hawakufikisha zao hilo mnadani. 

Imendikwa na Jackline Clavery

Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya  Songea

Septemba 14,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.