• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MH. Jenista awataka watumishi Ruvuma kufanya kazi kwa weledi

Imewekwa kuanzia tarehe: July 9th, 2022

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Umma na Utawala bora Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama amewaagiza Maafisa Utumishi kuwa wasimamizi wa maadili, nidhamu, wajibu, na haki za watumishi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika ukumbi wa mkutano wa Jimbo la Peramiho uliopo katika Ofisi ya Mkurugenzi Songea .

Akizungumza katika Halmashauri hiyo Mheshimiwa Waziri Jenista ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuweza kushika nafasi ya tano kitaifa kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani.

‘’Ninawaomba Maafisa Utumishi msimamie vyema mpango wa mafunzo hasa kwa kuzingatia mahitaji ya Ofisi Pamoja na kusimamia semina elekezi kwa ajira mpya zote’’, amesisitiza Mheshimiwa Jenista.

Hata hivyo ameziagiza mamlaka za ajira na Maafisa Utumishi wasimamie mazingira bora ya kazi ili kupunguza uhitaji wa kuhamahama kwa watumishi hao.

Mheshimiwa Waziri Jenista ameongeza kuwa Maafisa Utumishi kuwa na vikao vya mara kwa mara na watumishi ili kutatua changamoto zinazowakabili na kupunguza malalamiko yasiyo ya lazima.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menace Komba ameahidi maagizo yote yaliyotolewa na Mheshimiwa Waziri kuyafanyia kazi kwa weledi ili kuhakikisha Halmashauri hiyo inasonga mbele kwa Maendeleo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.