• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma waweka mikakati ya kuendeleza Sekta ya Uvuvi

Imewekwa kuanzia tarehe: October 19th, 2022

MKOA wa Ruvuma umeweka mikakati ya kuendeleza sekta ya uvuvi wa Samaki  ili kuhakikisha Zao hilo linakidhi mahitaji ya wananchi.

Akizungumza afisa Uvuvi Mkoa wa Ruvuma Amuli Bazil ofisini kwake  amesema mikakati hiyo ikiwemo kuhimiza matumizi ya zana bora za uvuvi ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ambapo hadi kufikia Septemba 2022, zaidi ya wavuvi 5,380 na wafugaji 4,159 na wadau 279 wamefundishwa njia za uvuvi wa Samaki  na utunzaji wa mazingira.

Bazil amesema njia bora ya kuendelea uvuvi wa samaki ikiwa ni pamoja na ujenzi wa miundombinu ya uvuvi  hasa mialo (Land stations), na katika mwaka huu wa fedha 2022/2023 Wizara ya Mifugo  na Uvuvi.

“Elimu endelevu ya uanzishaji wa vikundi vya ulinzi na usimamizi wa rasilimali za uvuvi (BMUs) katika mwambao wa Ziwa Nyasa”.

Hata hivyo amesema wamejipanga kuhimiza uanzishaji wa  uzalishaji wa vifaranga bora vya samaki,ufugaji wa samaki  kwa kutumia vizimba (cage) katika ziwa na  mabwawa ya asili  ili kupata mavuno mengi ya samaki  yatakayofaa kwaajili ya viwanda.

Amesema mkakati wa kukijenga kituo cha maendeleo ya ufugaji samaki Ruhila  ili kiweze kuzalisha vifaranga bora na vya kutosha,kwa sasa kituo kinauwezo wa kuzalisha vifaranga 1,000,000 kwa mwaka ukilinganisha na mahitaji 3,000,000 kwa mwaka.

“Halmashauri iwe na kituo cha kuzalisha vifaranga bora vya samaki ambapo vituo hivyo vitafanyika kama shamba darasa “.

Amesema Ujenzi wa Soko la samaki Mbamba bay  Wilaya ya Nyasa upo katika hatua za mwisho ili liweze kutumika  pamoja na ujenzi wa boti 6 za kisasa za Halmashauri  bado unaendelea.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Octoba 19,2022.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.