• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MLIMA Chingoli wa Tunduru wafichua siri ya udongo wa dhahabu kivutio cha uwekezaji kwenye kilimo

Imewekwa kuanzia tarehe: July 13th, 2025


Katika kijiji cha Misiaji, Kata ya Marumba wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, umeibuka ushuhuda wa kipekee.

Mlima mkubwa na mrefu wa Chingoli umegundulika kuwa na mapango yenye udongo wa kipekee, wenye rutuba ya asili inayochochea ustawi wa mazao kwa kiwango cha juu kabisa.

Wananchi wa vijiji 11 vinavyounda Jumuiya ya Uhifadhi wa Jamii (WMA) ya Chingoli, wameeleza kuwa wamekuwa wakitumia udongo huo  kwenye mashamba yao, na matokeo yake ni mavuno mengi, bora na yenye afya nzuri ya mazao. Mbolea ya asili kutoka mlima huo imekuwa hazina isiyo na kifani kwa wakulima wa maeneo hayo.

Wanakijiji hao sasa wanaomba Serikali kutembelea mlima huo ili kufanya uchunguzi wa kitaalamu, kwa lengo la kuvutia uwekezaji wa kiwanda cha mbolea ambacho kitaongeza ajira, kipato cha wananchi na mapato ya serikali. 

Mbali na hazina ya udongo wenye rutuba, Chingoli pia ni kivutio cha kipekee cha utalii – ikiwa na mandhari ya kuvutia, wanyamapori kama tembo na nyati, pamoja na mapango ya asili yanayoweza kugeuzwa kuwa vivutio vya kipekee kwa watalii wa ndani na nje ya nchi.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MATOGORO mlima wa maajabu unaobeba chanzo cha Mto Ruvuma na siri nzito ya vita ya Majimaji

    July 13, 2025
  • JIWE LA BWANA kivutio kinachoongoza kuvutia watalii wa picha Tunduru

    July 13, 2025
  • RUVUMA yafanya maajabu kitaifa katika sekta ya elimu

    July 13, 2025
  • MLIMA Chingoli wa Tunduru wafichua siri ya udongo wa dhahabu kivutio cha uwekezaji kwenye kilimo

    July 13, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.