• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NYASA yatoa mafunzo ya mpango wa usajili watoto katika kata zote

Imewekwa kuanzia tarehe: March 17th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Leo imeanza kutoa mafunzo ya siku tatu ya Mpango wa usajili wa watoto walio na umri chini ya miaka mitano (05),  kwa washiriki 121 kutoka Kata zote na Vituo vyote 35 vya kutolea huduma za afya,  ili kuwajengea uwezo washiriki namna ya kuwasajili watoto hao.

Mafunzo hayo ni  ya siku tatu, yanayofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba ulioko Katika Kata ya Mbamba-bay Wilayani hapa,  yanatolewa na Serikali kupitia Wakala wa Usajili,Ufilisi na Uthamini (RITA) .

Akifungua mafunzo Hayo Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi Isabela Chilumba aliwataka washiriki hao kuzingatia Mafunzo,maadili ya kazi wanayoenda kuifanya kwa kuwa, wanaenda kuwasajili watoto ambao ni Raia wa Tanzania na kuwataka kuongeza umakini kwa kuwa wilaya ya Nyasa Inapakana na Nchi mbili ya Malawi na Msumbiji ili wasiweze kuwasajili watoto wasio raia wa Tanzania.

Bi chilumba aliongeza kuwa zoezi  hili la Usajili wa watoto, waliokuwa chini ya umri wa miaka mitano ni kubwa na linatakiwa kutekelezwa kwa umakini na kufikia Lengo la kusajili kwa asilimia mia moja pamoja na kuwahamasisha wananchi kushiriki kikamilifu kuwapatia watoto wao Vyeti vya kuzaliwa, kwa kuwa wato wengi hawana vyeti hivyo licha ya kuwa ni muhimu sana.

Kwa mujibu wa mratibu wa zoezi la Usajili  Wilaya ya Nyasa,Bi  Imelda Mlugo amesema Wilaya ya Nyasa inatarajia kusajili watoto (27,669) na jumla ya vituo vya usajili vitakuwa  (35) na idadi ya washiriki wa mafunzo hayo ni  121  kutoka Kata 20 za Wilayani Hapa.

Alitoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Nyasa kujitokeza kwa wingi ili kuwapatia haki ya msingi ya Cheti cha kuzaliwa watoto wao.Aidha aliongeza kuwa kampeni hii ya usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano itaanza machi 20 mwaka huu hadi april 07 mwaka huu na kuendelea kwa siku 90.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.