• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATUMISHI wa Umma Nyasa wapata mafunzo ya PEPMIS

Imewekwa kuanzia tarehe: May 23rd, 2024

Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetoa mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Utendaji Kazi katika Utumishi wa Umma PEPMIS na PIPMIS kwa watumishi wa Umma wa Halmashauri na Taasisi za Serikali ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma.

Mafunzo haya yamefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Kilosa mjini Mbambabay.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watumishi wa Umma ili waweze kutoa Taarifa ya utekelezaji na kupimwa majukumu yao kupitia mfumo wa usimamizi wa utendaji kazi wa Utumishi wa Umma.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi wa Idara na Sera na Mipango (ORMUUB) Bw Cyrus Kapinga amesema mafunzo haya ni muhimu  kwa watumishi wa Umma kwa kuwa watakuwa wanatoa taarifa ya utendaji kazi na kupimwa kwa njia ya mfumo.

Amesema mafunzo hayo yatamwezesha mtumishi akiwa kwenye kituo chake cha kazi kutumia  mfumo na mtumishi kuomba mikopo, uhamisho na shughuli nyingine nyingi.

Amesema Ofisi ya Utumishi imeamua kufika mikoani kwa ajili ya kufundisha na kufanya tathimini ya mfumo huu ili waweze kutatua changamoto zinazowakabili watumishi  wanapotumia mifumo huo.

Ametoa rai kwa Watumishi kujifunza na kutumia mfumo huu kwa kuwa mfumo wa awali wa OPRAS ambao ulikuwa unapima utendaji kazi wa mtumishi wa umma umefutwa.

Awali akimkaribisha Mgeni rasmi kufungua mafunzo Katibu Tawala wa Wilaya ya Nyasa Bw, Salum Ismail amewataka watumishi kufanya kazi kwa juhudi na kutoa taarifa ya utendaji kazi kupitia mfumo huu.

Watumishi waliopata mafunzo ni Wakuu wa Divisheni na Vitengo na watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa pamoja

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.