• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UTEKELEZAJI miradi ya kilimo

Start Date: 2022-03-31
End Date: 2023-06-30

TAARIFA YA KIKAO CHA BARAZA LA USHAURI MKOA WA RUVUMA(RCC) DESEMBA 2022.doc .

6.1 UCHUMI NA UZALISHAJI (KILIMO, MIFUGO, UVUVI, MALIASILI NA USHIRIKA)

6.1.1 SEKTA YA KILIMO

Mkoa wa Ruvuma una fursa ya kupata mvua nyingi, ardhi nzuri inayofaa kwa kilimo na inayokubali kuzalisha takribani mazao aina zote. Mazao ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Mpunga, Muhogo, Maharage, Mtama, Ulezi, Mbaazi na Viazi Vitamu. Mazao ya biashara ni Tumbaku, Kahawa, Korosho, Ufuta, Soya, Alizeti, Tangawizi, Mbaazi na Karanga. Mazao ya bustani ni pamoja na Parachichi, Embe, Machungwa, Matikiti, Ndizi, Papai na Mbogamboga. Hekta 4,007,746 zinafaa kwa kilimo, hadi sasa eneo linalolimwa ni wastani wa hekta 583,279 sawa na asilimia 15 ya eneo lote, na kufanya Mkoa kuwa na ziada ya hekta 3,424,467 sawa na asilimia 85. Aidha, Mkoa wa Ruvuma umeendelea kuwa mzalishaji mkubwa wa zao la mahindi ambalo linategemewa kwa ajili ya usalama wa chakula.

 

6.1.1.1 Utekelezaji wa Shughuli za Kilimo kwa Msimu wa Mwaka 2021/2022

 Mipango na Malengo ya Kilimo Msimu wa 2021/2022

Katika msimu wa kilimo wa mwaka 2021/2022 Mkoa ulilenga kulima jumla ya hekta             651,157 za mazao ya chakula, biashara na mazao ya bustani zilizotarajiwa kutoa mavuno ya tani 1,785,500. Kati ya hekta hizo kilimo cha mazao ya chakula ni hekta 522,396 zilizotarajiwa kutoa mavuno ya tani 1,458,462  na kilimo cha mazao ya biashara ni hekta 116,150 zilizotarajiwa kutoa mavuno ya tani 84,509. Kwa mazao ya bustani hekta 12,611 zilizotarajiwa kutoa mavuno ya tani 242,529.

 Utekelezaji wa Malengo ya Kilimo Msimu wa 2021/2022 

Kufikia mwezi Juni, 2022 Mkoa ulikwishalima hekta 583,279 za mazao ya chakula, biashara na mazao ya bustani sawa na asilimia 89.56 ya lengo ambazo zimetoa mavuno ya tani 1, 541,659 sawa na asilimia 86.34 ya lengo la mavuno. Kwa upande wa mazao ya chakula hekta 442,014 zililimwa ambazo zimetoa mavuno ya tani

1,256,362 na katika kilimo cha mazao ya biashara hekta zilizolimwa ni 127,418 ambazo zimetoa jumla ya tani 101,059. Aidha kwa upande wa mazao ya bustani hekta 13,848 zililimwa na kutoa mavuno ya Tani 184,238

6.1.1.2. Mipango na Malengo ya Kilimo Msimu wa 2022/2023

Katika msimu wa kilimo wa mwaka 2022/2023 Mkoa umelenga kulima jumla ya hekta             930,082 za mazao ya chakula, biashara na Mazao ya bustani zinazotarajiwa kutoa mavuno ya tani 1,965,072.  Kati ya hekta hizo kilimo cha mazao ya chakula ni hekta 569,070 zinazotarajiwa kutoa mavuno ya tani 1,638,808 na kilimo cha mazao ya biashara ni hekta 337,572 zinazotarajiwa kutoa mavuno ya tani 102,379 Kwa mazao ya bustani hekta 23,399 zinazotarajiwa kutoa mavuno ya tani 223,886.

Jedwali Na.11: Malengo ya Kilimo kwa Kila Halmashauri


 Halmashauri

Malengo ya Kilimo msimu wa 2022/2023

Mazao ya Chakula

Mazao ya Biashara

Mazao ya Bustani

Jumla Kuu

hekta
tani
hekta
tani
hekta
tani
hekta
tani
Songea DC
         124,205
             419,266
           17,479
         11,069
           8,217
         126,939
   149,901.00 
       557,273.60 
Songea MC
           21,901
               79,219
             1,087
           1,945
           1,385
           22,901
     24,372.50 
       104,065.00 
Madaba
           64,901
             229,530
             2,879
           8,889
           1,468
           33,747
     69,247.90 
       272,165.79 
Mbinga DC
           91,643
             223,192
           30,307
         14,679
           1,877
           25,567
   123,826.58 
       263,438.57 
Mbinga TC
           57,434
             106,017
           13,627
           4,676
           8,611
                 876
     79,672.00 
       111,568.60 
Nyasa DC
           96,097
             280,659
           13,259
           6,210
           1,197
             8,406
   110,553.00 
       295,274.44 
Namtumbo DC
           43,201
             144,402
           15,816
         12,490
               241
             1,997
     59,258.00 
       158,889.40 
Tunduru DC
           69,690
             156,523
         243,118
         42,421
               403
             3,453
   313,210.56 
       202,397.07 
Jumla ya Mkoa
         569,070 
         1,638,808 
         337,572 
      102,379 
         23,399 
         223,886 
   930,041.54 
   1,965,072.46 


6.1.1.3 Hali ya Upatikanaji wa Chakula

Hali ya usalama wa chakula kwa Mkoa wa Ruvuma ni nzuri kwa kiwango cha utoshelevu na ziada kwa zaidi ya miaka kumi na mbili (12) mfululizo. Chakula kilichozalishwa katika msimu 2021/2022 kinatumika kwa msimu huu 2022/2023 ambapo mazao ya chakula zilizalishwa tani 1,256,362 na mahitaji ya chakula ndani ya Mkoa kwa msimu 2022/2023 ni tani 469,172 na kuufanya Mkoa kuwa na ziada ya chakula tani 787,190 ambazo zimeendelea kuuzwa kwa lengo la kuwaongezea wananchi kipato

 

6.1.1.4 Upatikanaji wa Mbolea kwa Msimu wa 2021/2022 na Mfumo wa Ruzuku ya Mbolea Msimu wa 2022/2023

  1. Hali ya Upatikanaji wa Mbolea katika Mkoa wa Ruvuma Msimu wa 2021/2022

Katika msimu 2021/2022 jumla ya tani 33,501.07 za mbolea ziliingia katika Mkoa kupitia makampuni na mawakala wa mbolea ambao ni Premium, Export Trading, Afrisian, DRTC, Minjingu, STACO, YARA na Mohamed Entreprises. Mahitaji ya mbolea za aina zote kwa Mkoa ni Jumla ya tani 50,524.50. Aidha, Hali ya upatikanaji wa mbolea ilikuwa ya kuridhisha, kiasi cha mbolea kilichosambazwa katika Mkoa wa Ruvuma ni tani 30,374.21 sawa na asilimia 76.98 ya mbolea zilizoingia.

Jedwali Na 12. Gharama ya mbolea kwa mfuko wa kilo 50 kwa msimu wa mwaka 2021/2022 sokoni.

Mbolea 
UREA
SA
CAN
DAP
Bei
126,000
84,000.00
110,000.00
132.000.00

Kutokana na kupanda kwa bei ya mbolea, zipo changamoto za uzalishaji zilizo jitokeza hususani baadhi ya Wakulima kushindwa kumudu gharama za mbolea, hali hii ilipelekea wakulima kulima pasipo kutumia mbolea za viwandani.

  1. Mfumo wa Mbolea za Ruzuku Msimu wa Kilimo 2022/2023
  • Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na  Wizara ya Kilimo kupitia Mamlaka ya Udhibiti  wa Mbolea (TFRA) unatekeleza mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea kwa Wakulima msimu wa 2022/2023.  Mfumo huu unaenda sambamba na zoezi la kusajili wakulima wote, mawakala na makampuni yanayoingiza mbolea.
  • Usajili wa Mawakala
  • Mkoa wa Ruvuma una jumla ya mawakala 131 waliosajiliwa ambao wanahudumia kwenye Halmashauri zote nane kama jedwali 13 linavyoonesha. 
  • Jedwali Na 13. Idadi ya mawakala
    • Na
    • Halmashauri 
    • Idadi ya Mawakala 
    • 1.
    • Songea Mc
    • 30
    • 2.
    • Songea DC
    • 44
    • 3.
    • Madaba
    • 0
    • 4.
    • Mbinga DC
    • 1
    • 5.
    • Mbinga TC
    • 29
    • 6.
    • Nyasa
    • 0
    • 7.
    • Namtumbo
    • 19
    • 8.
    • Tunduru
    • 8
    • Jumla 
    • 131

    • Mawakala wenye vigezo wamejisajili kwenye mfumo wa Ruzuku wa kidigitali unaoratibiwa na TFRA. Aidha, makampuni ya mbolea yamewasilisha majina ya mawakala watakaosambaza mbolea kwa wakulima.
    • Usajili wa Wakulima
  •  Katika usajili wa wakulima utaratibu unaotumika katika usajili ni kama ifuatavyo;

    Wakulima waliosajiliwa tangu zoezi la usajili lilipoanza tarehe 15 Agosti 2022 kupitia vitabu ni wakulima 225,623.00 kati ya hao 115,931.00 wameshaingizwa kwenye mfumo na wameanza kupata mbolea.


    •  Wakulima wote wanasajiliwa katika maeneo wanayolima;
    • Wakulima wanasajiliwa katika hatua mbili hatua ya kwanza ni kwenye kitabu ambapo taarifa za mkulima zinajazwa ikiwemo jinakamili, namba ya simu, ukubwa wa eneo analolima, ainaya mazao anayozalisha;
  • NA

    Halmashauri

    Idadi ya Vitabu 

    Malengo ya kuandikisha 

    Idadi ya Wakulima walioandikishwa kwenye Vitabu

    Idadi ya Wakulima waliosajiliwa kwenye Mfumo

    1

    Songea DC

    130

    46,000

    38,752.00

    10,256.00

    2

    Songea MC

    110

    32,500

    18,622.00

    16,721.00

    3

    Madaba

    160

    26,196

    20,100.00

    14,500.00

    4

    Namtumbo

    210

    77,947

    50,990.00

    33,894.00

    5

    Tunduru

    250

    128,421

    27,000.00

    1,570.00

    6

    Nyasa

    170

    29,224

    17,158.00

    13,886.00

    7

    Mbinga DC

    330

    65,000

    38,301.00

    19,744.00

    8

    Mbinga TC

    170

    23,000

    14,700.00

    5,360.00

     

    Jumla ya Mkoa

    1,530.00

    428,288.00

    225,623.00

    115,931.00

    Jedwali Na 14. Idadi ya Wakulima

    Baada ya mkulima kusajiliwa katika kitabu taarifa zake zinapandishwa/kuingizwa kwenye mfumo, mara baada ya taarifa za mkulima kuingizwa kwenye mfumo, mkulima anapata namba kupitia meseji. Namba hiyo ndio itakayotumika katika kununulia mbolea za ruzuku kwa Wakala. Jedwali namba 4 linaonesha Idadi ya Wakulima waliosajiliwa.


    •  
    • Bei ya Mbolea ya Ruzuku.
    • Mbolea zilizoingizwa kwenye ruzuku ni DAP, UREA, CAN, SA, na NPKS.  Katika kila kituo cha mauzo, mbolea za aina zote zikiwemo mbolea za YARA na MINJINGU zinauzwa kwa bei ya ruzuku na zoezi hili limeanza mwezi Agosti, 2022 kwa makampuni ya Premium, Export Trading, YARA na OCP Tanzania.
    • Jedwali Na 15. Bei za Kila Aina ya Mbolea
    • Mkoa wa Ruvuma una jumla ya hekta 197,108.2 zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na hekta 7,388.3 zimeendelezwa,hii ni sawa na asimilia 3.7.

      6.1.1.8 Kilimo cha Umwagiliaji

       

      Na
      SONGEA DC
      SONGEA MC
      MADABA
      MBINGA DC
      MBINGA TC
      NYASA 
      NAMTUMBO
      TUNDURU

      1

      Kilagano
      Kihekwa
      Igawisenga
      Lukarasi
      Ruvuma Chini
      Kwambe
      Mawa
      Nalasi

      2

      Mpandangindo
      Nangwahi
      Lilondo
      Mkako
      Masimeli
      Litoromelo
      Msindo
      Masugulu

      3

      Litapwasi
      Sinai
      Matetereka
      Kigonsera
      Kihungu
      Mbaha
      Nambalama
      Makande

      4

      Lusonga
      Mwanamonga
      Mahanje
      Mihango
      Utiri
      Nkaya
      Msisima
      Nandembo

      5

      Litisha
      Liwumbu
      Kipingo
      Amani Makolo
      Sepukila
      Ngingama
      Nahoro
      Mchuluka

      6

      Parangu
      Mdundiko
      Mkongotema
      Lipumba
      Makatani
      Kingerikiti
      Libango
      Pacha Nne

      7

      Ndongosi
      Masigira
      Gumbiro
      Muhongozi
      Ukomo
      Mawasiliano
      Likuyu Mfuate
      Chingulungulu

      8

      Magagura
      Mlete
      Ngadinda
      Mbuji
      Myangayanga
      Lumeme
      Mtumbatimaji
      Nakapanya

      9

      Kikunja
      Mhombezi
      Mtyangimbole
      Kibanga
      Luwaita
      Kikole
      Kitanda
      Kitanda

      10

      Maposeni
      Ndilimalitembo
      Luhimba
      Kihereketi
      Mateka
      Malungu
      Namanguli
      Uwanja wa Ndege

      11

      Mpitimbi


      Likwela


      Mkongo Gulioni
      Masonya

      12

      Lilahi


      Kitesa


      Njomlole
      Matemanga

      13

      Peramiho B


      Matekela


      Namali
      Hulia

      14

      Muunganozomba


      Mkuka


      Ligunga
      Kidodoma

      15

      Lugagara


      Maguhu


      Magazini
      Mkonda

       

      15
      10
      10
      15
      10
      10
      15
      15

      Jedwali Na. 16: Vijiji vilivyochaguliwa katika kila Halmashauri

      Uchaguzi wa vijiji hivi ulizingatia maeneo yenye uzalishaji mkubwa, aina ya mazao yanayolimwa na uwakilishi mzuri wa maeneo haya kwa aina ya udongo na jiografia ya maeneo hayo. Mpaka sasa upimaji umeshafanyika na matokeo ya vijiji husika yameshawasilishwa kwenye hivyo vijiji, na kinachofuata ni kusubiri taarifa ya kimkoa ambayo inaandaliwa na wataalam wa afya ya udongo kutoka kituo cha utafiti Uyole (TARI-Uyole) ambapo taarifa hii itawasilishwa kwa wadau wote wa mkoa ikihusisha hali ya afya ya udongo kwenye maeneo yetu na mapendekezo sahihi ya matumizi ya mbolea.

      Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia taasisi yake ya TARI Uyole na Kampuni ya OCP ilitoa taarifa ya hali ya Afya ya udongo ya Mkoa wa Ruvuma kuwa unaumwa na unahitaji matibabu. Sababu kubwa ya udongo kufikia hatua hii ni kutokana na kuwepo kwa matumizi makubwa ya Pembejeo hususani mbolea pasipo kupima afya ya udongo na kuutibia. Hivyo Kampuni ya OCP iliamua kuwezesha gharama za upimaji wa Afya ya Udongo katika vijiji 100 vya mkoa wa Ruvuma (Jedwali Na.16) ambapo zoezi la kuainishaji vijiji vitakavyowakilisha udongo wa Mkoa mzima ulifanyika kwa kushirikiana na maafisa kilimo, umwagiliaji na ushirika wa kila Halmashauri

      6.1.1.7 Afya ya Udongo

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alitoa pikipiki 7000 kwa maafisa ugani wa Kata na Vijiji kwa nchi nzima ambapo katika Mkoa wetu wa Ruvuma tulipata mgao wa pikipiki 281, hivyo maafisa ugani wote wa Kata na Vijiji waliopo katika Mkoa wa Ruvuma kila mmoja alipata pikipiki moja. Aidha tunatarajia kupata seti moja ya vifaa vya kutolea Huduma za Ugani.

      6.1.1.6 Vitendea kazi kwa Maafisa Ugani

      Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Idara ya huduma za ugani na taasisi ya utafiti wa mazao TARI Naliendele na Uyole walitoa Mafunzo kwa maafisa ugani 281 wa Halmashauri za Songea DC, Songea MC, Namtumbo, Madaba, Tunduru, Mbinga DC, Mbinga TC na Nyasa za Mkoa wa Ruvuma. Mafunzo haya yalilenga kuwajengea uwezo Maafisa Ugani wanaosimamia mazao ya Soya, Alizeti, Ufuta, Korosho na Mahindi.

      6.1.1.5 Mafunzo kwa Maafisa Ugani

       

      • Na
      • Aina ya Mbolea
      • Bei ya Soko (Tsh.)
      • Bei ya Mkulima yenye ruzuku (Tsh.)
      • Ruzuku ya Serikali (Tsh)
      • 01
      • DAP
      • 132,000.00
      • 70,000.00
      • 62,000.00
      • 02
      • UREA
      • 126,000.00
      • 70,000.00
      • 56,000.00
      • 03
      • CAN
      • 110,000.00
      • 60,000.00
      • 50,000.00
      • 04
      • SA
      • 84,000.00
      • 50,000.00
      • 34,000.00
      • 05
      • NPKS
      • 124,000.00
      • 70,000.00
      • 54,000.00

      1. Skimu Za Umwagiliaji Zinazofanya Kazi
    • Mkoa una skimu 102 kati ya hizo skimu 42 zimeboreshwa skimu 23 zinafanya kazi na 19 hazifanyi kazi. Skimu 23 zinazofanya kazi zina ukubwa uliogawanyika katika makundi mawili, eneo lote linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji hekta 5,420 na eneo linalomwagiliwa lenye ukubwa wa hekta 1,182 kama (Jedwali Na.17) kinavyoonesha ambapo uzalishaji wake ni kati ya magunia ya mpunga 25 hadi 40 kwa ekari, kiasi hiki cha uzalishaji kinaridhisha kwani husababisha mkoa kupata zaidi ya tani 15,930 za mpunga kwa msimu.


      1. Skimu Za Umwagiliaji Zisizofanya Kazi
    •  

      Halmashauri

      Songea MC

      Songea DC

      Tunduru

      DC

      Namtumbo

      DC

      Nyasa

      DC

      Mbinga DC

      Mbinga TC

      Madaba

      DC

      Skimu za Umwagiliaji

      2

      7

      7

      14

      6

      3

      0

      3

      Jedwali Na 19. Idadi ya Skimu za Umwagiliaji Zilizoboreshwa Kwa Kila Halmashauri

       

      Jedwali Na.18: Skimu Za Umwagiliaji Zisizofanya Kazi

      Jedwali Na.17: Skimu Za Umwagiliaji Zinazofanya Kazi

      Mkoa wa Ruvuma una jumla ya skimu 19 ambazo hazifanyi kazi zenye ukubwa uliogawanyika katika makundi mawili eneo lote linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji lenye ukubwa wa hekta 3,844 na eneo linalomwagilia lenye ukubwa wa hekta 1110 kutokana na miundombinu iliyokuwa imejengwa hapo awali kuathirika na mafuliko katika kipindi cha msimu wa mvua kwa mwaka 2019/20, lakini pia katika orodha hiyo baadhi ya skimu hazijajengwa kabisa kutokana na serikali kutoelekeza fedha hizo kama ilivyokuwa imepangwa katika bajeti. (Jedwali Na.18).


      1. Usajili wa Skimu 
    •  

      Na.
      Scheme Name
      Name of IO
      Controll Number
      REG. NO
       Reg. Datea
      Wilaya
      1.
      Namatuhi
      Umoja wa Umwagiliaji Namatuhi
      995780000976
      NO. 081
      10-May-18
      Songea Vijijini
      2.
      Njoka
      Umoja wa Umwagiliaji Njoka
      995780000975


      Songea Vijijini
      3.
      Madaba
      Chama cha Umwagiliaji Madaba
      995780001105
      No. 226
      19-November,2021
      Tunduru
      4.
      Misyaje
      Chama cha Wakulima Misyaje
      995780001106
      NO. 227
      19-November,2021
      Tunduru
      5.
      Machemba
      Chama cha Wakulima Machemba
      995780001104
      NO. 228
      19-November,2021
      Tunduru
      6.
      Mdabwa
      Chama cha Wakulima Mdabwa
      995780001107
      NO. 229              
      19-November,2021
      Tunduru
      7.
      Chinunje
      Skimu ya Chinunje
      995780001093
      NO. 230
      19-November,2021
      Tunduru
      8.
      Kitanda-Tunduru
      Skimu ya Kitanda
      995780001043

      19-November,2021
      Tunduru
      9.
      Masonya
      Umoja wa Wakulima Masonya
      995780001033
      NO. 232
      19-November,2021
      Tunduru
      10.
      Nambalapi
      Skimu ya Nambalapi
      995780001034
      NO. 244
      19-November,2021
      Tunduru
      11.
      Mkalekawana
      Skimu ya Mkalekawana
      995780001035
      NO. 242
      19-November,2021
      Tunduru
      12.
      Legezamwendo
      Skimu ya Legezamwendo
      995780001095
      NO. 234
      19-November,2021
      Tunduru
      13.
      Lekindo
      Skimu ya Lekindo
      995780001096
      NO. 233
      19-November,2021
      Tunduru
      14.
      Mbati
      Skimu ya Mbati
      995780001094
      NO. 243
      19-November,2021
      Tunduru
      15.
      Kangomba
      Skimu ya kangomba
      995780001188
      NO. 235
      19-November,2021
      Tunduru
      16.
      Mtonya
      Skimu ya Mtonya
      995780001187
      NO. 236
      19-November,2021
      Namtumbo
      17.
      Naikula
      Skimu ya Naikula
      995780001197
      NO. 237
      19-November,2021
      Tunduru
      18.
      Mchengamoto
      Skimu ya Mchengamoto
      995780001198
      NO. 238
      19-November,2021
      Tunduru
      19.
      Nyomboka
      Chama cha Umwagiliaji Nyomboka
      995780001225
      NO. 239
      19-November,2021
      Nyasa
      20.
      Lundo
      Chama cha Umwagiliaji Lundo
      995780001224
      No. 240
      19-November,2021
      Nyasa
      21.
      Mnkalachi
      Chama cha Umwagiliaji Mnkalachi
      995780001226
      No. 241
      19-November,2021
      Nyasa
      22.
      Lipupuma
      Chama cha Umwagiliaji Lipupuma
      99578000956

      19-November,2021
      Namtumbo
      23.
      Njomlole
      Chama cha Umwagiliaji Njomlole


      19-November,2021
      Namtumbo
      24.
      Nasya
      Chama cha Umwagiliaji Nasya
      99578000977

      19-November,2021
      Tunduru
      25.
      Naluwale
      Chama cha Umwagiliaji Naluwale


      19-November,2021
      Tunduru
      26.
      Mkatamo
      Chama cha Umwagiliaji Mkotamo
      99578000979

      19-November,2021
      Tunduru
      27.
      Luhimbalilo
      Chama cha umwagiliaji Luhimbalilo
      99578000955

      19-November,2021
      Namtumbo
      28.
      Kitanda-Tunduru
      Chama cha umwagili

      Matangazo

      • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
      • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
      • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
      • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
      • Tazama zote

      Habari Mpya

      • NMB yatoa madawati 150 ya milioni 16 Songea

        June 05, 2025
      • UCHANGIAJI damu wazidi kuimarika Ruvuma

        June 04, 2025
      • TRILIONI 1.18 za Rais Samia zavunja ukame wa maendeleo Ruvuma,ndani ya miaka minne Ruvuma yachanua

        June 04, 2025
      • RAS RUVUMA alivyowaongoza wananchi kuchangia damu

        June 04, 2025
      • Tazama zote

      Video

      HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
      Video Zaidi

      Viungio vya Haraka

      • Songea Municipal Council
      • Mbinga District Council
      • Tunduru District Council
      • Madaba District Council
      • Nyasa District Council
      • Namtumbo Dictrict Council
      • Mbinga Town Council
      • Songea District Council

      Tovuti Muhimu

      • Utumishi Portal
      • Government Portal
      • Tamisemi
      • Tanzania Revenue Authority

      Waliotembelea Kijiografia

      world map hits counter

      Waliotembelea

      free HitCounter

      Ramani ya Eneo

      Wasiliana nasi

        Regional Commissioner Office

        Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

        Simu: 0252602256

        Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

        Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

      Mawasiliano Mengine

         

        • Sera ya Faragha
        • Kanusho
        • Majibu ya haraka
        • Ramani ya Mahala
        • Huduma

      Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.