• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

ASKOFU Mkuu aionya jamii kuepuka rushwa kwenye uchaguzi

Imewekwa kuanzia tarehe: August 26th, 2024


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea Mhashamu Damian Dallu ametoa onyo kali kwa jamii na viongozi juu ya masuala ya rushwa katika uchaguzi na matumizi mabaya ya madaraka.


Mhashamu Dallu ametoa onyo hilo wakati anahubiri kwenye adhimisho la misa takatifu ya kumsimika na kumbariki Abate mpya wa Peramiho, Mhashamu Emanuel Mlwilo OSB iliyofanyika katika Kanisa la Abasia ya Peramiho Jimbo Kuu la Songea.

"Inawezekana tatizo halipo kwa watu hawa wanaochaguliwa, Sasa rushwa imeingia katika jamii, bila kupokea rushwa hakuna raha, mtakosa wale ambao wanataka wawasaidie" alisisitiza Mhashamu Dallu.

Amekemea tabia ya rushwa licha ya kwamba ni dhambi na kwamba inaathiri uchaguzi, na kuchangia kuleta viongozi wasiofaa ambao hawana nia ya kutumikia jamii bali kufaidika kwa kutoa rushwa.


Ameonya kuwa kuendeleza tabia ya kupokea rushwa itaiumiza serikali kwa kuwa italeta viongozi wasiofaa, ambao hawawezi kuwatumikia watu bali kuwanufaisha viongozi wanarushwa.


Ameongeza kuwa uongozi unapaswa kuwa na ridhaa ya watu wa jamii, na kwamba kiongozi anayechaguliwa lazima awe ni mtu anayefahamika na jamii kwa uwezo wake na tabia yake.


Katika hatua nyingine Askofu Mkuu Dallu amewasihi viongozi wa dini na wale wenye mamlaka serikalini kutotumia vibaya madaraka yao  badala yake wawe wanyenyekevu na kuwatumikia wale waliowachagua.

Kauli ya Askofu Dallu imekuja wakati ambapo jamii inajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika nchini Novemba 27,2024  na uchaguzi mkuu wa Rais,wabunge na madiwani ambao unatarajia kufanyika mwaka 2025.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.