• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BADO vijiji viwili tu kati ya 554 Ruvuma kupata umeme

Imewekwa kuanzia tarehe: August 17th, 2024

wananchi wametakiwa kulinda miundombinu ya umeme kwa  kuepuka shughuli za uchomaji moto kwenye maeneo ya mashamba yao ambayo yamezunguka nguzo za umeme kwani kwakufanya hivyo kunaweza kuathiri kukosekana kwa huduma ya  umeme katika maeneo mengine 

Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Nishati Mheshimiwa Judith Kapinga, Mara baada yakuwasha umeme kwa mara ya kwanza katika kijiji cha Mpingi Kata ya Matimila Halimashauri ya Songea 

Kapinga ameeleza kuwa maendeleo ni hatua na lazima yawe na awamu ambapo hadi hivi sasa kwa Mkoa wa Ruvuma umebakiza vijiji viwili tu  kati ya 554 na kwa Tanzania nzima ni chini ya vijiji 151, ili kukamilisha katika hatua ya awali ya kupeleka umeme kwenye ngazi ya vijiji na baadae kusambaza kwenye vitongoji vyote.

Ametumia nafasi hiyo kumtambulisha Mkandarasi Kampuni ya MF ambae hivi karibuni ataanza kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye vitongoji 284 vya Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza awali wakati akitoa taarifa kuhusu mradi huo wakupeleka umeme katika kijiji hicho cha Mpingi Kata ya Matimira , Mhandisi Kutoka REA Robert Dulle, ameeleza kuwa mradi umegharimu takribani milioni 149 mpaka kukamilika kwake huku akitoa wito kwa wakazi wa eneo hilo wajitokeze kwa wingi kuunganishiwa umeme.

Naye Diwani wa Kata ya Matimira ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Songea Mheshimiwa Menas  Komba, ametoa shukrani zake za dhati kwa wakala wa Umeme Vijijini REA, kwa kufikisha huduma hiyo kijijini hapo 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.