• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa bilioni 3.4 kumaliza kero ya maji Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: June 29th, 2025

Wakazi wa Mji wa Tunduru mkoani Ruvuma wana kila sababu ya kutabasamu baada ya Serikali ya awamu ya sita kutoa zaidi ya shilingi bilioni 3.4 kwa ajili ya kutatua tatizo sugu la uhaba wa maji safi na salama. 

Fedha hizo zinakwenda kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya maji, na hatimaye kumaliza safari ndefu ya kina mama na watoto kutafuta maji kwa masafa marefu kila siku.

Akizungumza na wanahabari ofisini kwake mjini Tunduru, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tunduru Mjini (TUWASA), 

Mhandisi Cuthbert Kiwia, alisema mradi huo mkubwa utaongeza uwezo wa uzalishaji maji hadi kufikia lita milioni 8.2 kwa siku. Hii ni zaidi ya mahitaji ya sasa ya mji huo ambayo ni lita milioni 6.8 kwa siku.

 “Hii ina maana kuwa wakazi wa Tunduru sasa wataanza kupata huduma ya maji kwa asilimia 100,” alisisitiza Kiwia.

Mradi huo pia utahusisha ujenzi wa mtandao mpya wa mabomba wa kilomita 98.6, kutoka kilomita 3.3 za sasa. Zaidi ya hapo, tenki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni moja linajengwa katika eneo la juu zaidi mjini humo, hatua itakayosaidia kusukuma maji hadi katika maeneo yaliyokuwa hayafikiki hapo awali. 

Kwa mujibu wa Kiwia, mafanikio haya yametokana na juhudi za makusudi za Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan. Tangu aingie madarakani, miradi ya maji yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4.8 

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TUWASA, Jonathan Haule ametoa shukrani zake kwa Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wakazi wa Tunduru. 


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MTO Ruvuma mboni ya uhai na maajabu ya utalii kuisni mwa Tanzania

    June 30, 2025
  • SERIKALI yatoa bilioni 3.4 kumaliza kero ya maji Tunduru

    June 29, 2025
  • KIWANDA kikubwa cha mbolea kitakachowanufaisha wakulima Ruvuma chazinduliwa

    June 29, 2025
  • RAS Ruvuma ateta na viongozi wa NHIF

    June 26, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.