• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BARAZA la wazee la Makumbusho ya majimaji lachagua viongozi wake

Imewekwa kuanzia tarehe: May 8th, 2025

Baraza la Wawakilishi wa Wazee wa Mila na Desturi mkoani Ruvuma limefanya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wapya, ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika Makumbusho ya Majimaji, Manispaa ya Songea.

Uchaguzi huo ulihusisha makabila mbalimbali ya mkoa wa Ruvuma, yakiwemo ya Wangoni, Wayao, Wanyasa, na Walendeule. Viongozi waliochaguliwa katika nafasi mbalimbali ni pamoja na Willium Gama aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti, Salma Komba kuwa Makamu Mwenyekiti, Abasi Chitete kuwa Katibu Mkuu, na Ngaiwana Nkondora kuwa Katibu Msaidizi.

Katika uchaguzi huo pia, wajumbe wapya wa halmashauri kutoka wilaya mbalimbali walichaguliwa. Hawa ni pamoja na Sophia Namagono (Halmashauri ya Tunduru), Faustine Lehman (Mbinga), Tabia Kobe (Namtumbo), Abel Tawete (Madaba), Samuel Muhaiki (Nyasa), pamoja na Philip Shantembo na Jumanne Lukaba kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Akizungumza baada ya uchaguzi huo, Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Ruvuma, Anthony Luoga, aliwataka viongozi waliochaguliwa kuwa mfano wa kuigwa kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa kufuata misingi ya uongozi bora.

“Ninyi mnatakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu ili wengine wawafuate. Msiwe viongozi wasiofaa kuigwa, bali onesheni heshima na uwajibikaji,” alisema Luoga.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Ruvuma, Suleimani Matata, aliwasihi viongozi hao kuendeleza mshikamano, kushirikiana kwa upendo, na kuepuka kuweka vikwazo katika utekelezaji wa majukumu yao ya uongozi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.