• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BENKI ya NMB yatoa vifaa vya kuezekea kwa shule tatu Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: July 7th, 2022

Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya kuezeka vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 20 kwa shule tatu zilizopo wilayani Nyasa mkoani Ruvuma.

Hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa hivyo imefanyika katika shule ya sekondari ya  St.Pauls’ iliyopo Kata ya Liuli  ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni  Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Kanali Thomas Labani.

Akizungumza kabla ya kukabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya,Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Janeth Shango amezitaja shule zilizonufaika na msaada huo kuwa ni  Shule ya Sekondari St Paul’s Kata ya Liuli, Shule ya Msingi Litoromeo Kata ya Ngumbo na Shule ya Msingi  Ngingama Kata ya Linga.

Shango amesema NMB kama wadau wa maendeleo wanao wajibu wa kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na serikali  kwa kusaidia jamii  kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili zikiwemo za vifaa vya kuezekea.

“NMB tulipopata Maombi ya kuchangia maendeleo ya elimu katika Wilaya ya Nyasa tuliamua mara moja kuchangia, ili kuwa chachu ya maendeleo katika sekta muhimu ya elimu na kuongeza ari kwa wanafunzi kusoma kwa bidii’’,alisema Shango.

Ameitaja msaada waliochangi katika Shule ya Sekondari St Paul’s kuwa ni  bati 200,mbao 725 na Misumari kg 260, katika Shule ya Msingi Litoromeo Bati 100 na  nondo 100  na katika Shule ya Msingi Ngingama ni bati 120.

Mgeni rasmi katika hafla hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Kanali Thomas Laban ameipongeza Benki ya NMB  kwa kutoa msaada wa Vifaa hivyo kwa kuwa vitatatua changamoto ya madarasa katika shule hizo.

Hata hivyo Kanali Laban ametoa rai  kwa Taasisi nyingine kuiga mfano wa Benki ya NMB wa kusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika Sekta ya Elimu ili kuunga Mkono juhudi za Serikali za kuboresha Sekta ya Elimu Nchini.

Mkuu wa Shule ya Sekondari St.Paul’s Liuli Paulo Mwanda  ameishukuru Benki ya NMB kwa kutatua changamoto za shule zao na kuahidi vifaa hivyo kuvitumia vizuri kwa malengo yaliyopangwa.

Wanafunzi wa shule hiyo Imanuel Challe Elisha Mpangala na John Mpangala wameipongeza Benki ya NMB kwa kuwatatulia changamoto ya ukosefu wa Bwalo la chakula katika shule yao.

Imeandikwa na Albano Midelo

Nyasa,Julai 7,2022

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • SEKONDARI ya Dkt.Samia alama ya maendeleo Namtumbo

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.