• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 2.5 zajenga shule tano Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: January 24th, 2025

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi bilioni 2.5 kupitia mradi wa kuboresha miundombinu ya shule za sekondari (SEQUIP) kwaajili ya ujenzi wa shule 5 za sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Mwalimu Rudia Elias Masatu, ambapo amesema fedha hizo zimetumika kujenga sekondari 5 ambazo ni Majimaji, Mpakate, Kungu, Tuwe Macho  na Tinginya ambazo tayari zina wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha tatu.

Naye Mwalimu Mkuu wa Kungu sekondari, Ayoub Kundya, amesema walipokea shilingi milioni 480 mwaka 2022 kwaajili ya ujenzi wa madarasa 8, jengo la utawala, maktaba, chumba cha kompyuta pamoja na maabara tatu za masomo ya Fizikia, Kemia na Biolojia, na shilingi milioni 95 kwaajili ya ujenzi wa nyumba za walimu ambazo zimekamilika, na shule hiyo tayari ina wanafunzi 467 wa kidato cha kwanza hadi cha tatu.

Kwa upande wake mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Kungu sekondari, Frahma Seif Ali, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuwaletea shule nzuri na amehaidi wataongeza bidii ili kufanya vizuri kitaaluma.

Kwa upande mwingine Mjumbe wa Bodi ya Kungu sekondari, Mahmoud Selemani, amesema mwanzo wanafunzi walikuwa wanapata shida ya kutembea umbali mrefu hivyo shule hiyo imepunguza adha hiyo na sasa itawasaidia kupata masomo kwa wakati.

Katika hatua nyingine mzazi wa mwanafunzi anyesoma Kungu sekondari, Ahmad Mtumbi, amesema wamepata madarasa mazuri, shule ina muonekano mzuri na yenye mandhari mazuri.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.