• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 30 zinavyotekeleza miradi ya maji Mkoa wa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: June 28th, 2020

Wananchi wa mkoa wa Ruvuma wananufaika na utekelezaji wa  miradi ya Maji yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 30 zilizotolewa  na serikali ya Awamu ya Tano ili  kuwaondolea kero ya Maji wananchi.

 Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme wakati anakagua mradi wa maji wa  Myangayanga Wilaya ya Mbinga ambao serikali inatekeleza kwa gharama ya zaidi y ash.milioni 284.

Mndeme amewaomba wananchi wa Wilaya ya Mbinga kutunza chanzo cha maji  cha Miyangayanga chenye uwezo wa kuhudumua watu zaidi ya 12,000 na kinaweza kutoa maji lita laki mbili za maji.

‘’Asante pekee ambayo tunaweza kumpa Rais wetu ni kutunza Mazingira tusifungie kwenye chanzo cha Maji,tusilime,wala kukata miti, Mbinga hatujajaa,tunataka maji haya yanayopatikana katika chanzo hiki yahudumie wakati wa masika na kiangazi bila kupungua’’.alisisitiza Mndeme.

Naye  Kaimu Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mbinga Mashaka Sinkala amesema Mamlaka hiyo  imepanga kufanya ujenzi wa chanzo cha maji,mtandao wa mabomba wa njia kuu hadi kwenye tenki umbali wa kilomita 4.4.

 

Amesema RUWASA, Wilaya ya Mbinga itaanzisha Jumuiya ya Maji ngazi ya Jamii itakayokuwa na jukumu la kusimamia na kuendesha mradi kwa mujibu wa sheria ya Majina 5 ya 2019 pamoja na kanuni zake za uanzishwaji wa Jumuiya hizo.

Amesema chanzo hicho cha maji ya mserereko kina uwezo wa kuzalisha maji zaidi ya lita za ujazo laki tatu na kinaweza kutosheleza watu zaidi ya 12,000 na kwamba mradi ukikamilika kwa kuanzia utahudumia watu 2,300.

Mradi wa Maji Myangayanga ni miongoni mwa miradi saba inayotekelezwa na RUWASA kwa kushirikiana ya mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Songea(SOWASA) kwa fedha za mfuko wa Maji kwa utaratibu wa kutumia wataalamu wa ndani katika Wilaya ya Mbinga.

Imeandikwa na Aneti Ndonde

Wa Ofisi ya Habari Mkoa wa Ruvuma

Juni 24,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.