• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 3.4 kuendeleza hospitali tano Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: December 31st, 2022

SERIKALI imetoa shilingi bilioni 3.4 kuendeleza ujenzi wa hospitali tano katika Mkoa wa Ruvuma.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezitaja hospitali ambazo ujenzi wake unaendelea kuwa  ni ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa awamu ya kwanza unaogharimu shilingi bilioni 2.7. 

“Ujenzi katika hospitali ya Rufaa unahusisha jengo la wagonjwa wa nje OPD,jengo la mionzi na nyumba ya mtumishi”,alisema. 

Amezitaja hospitali nyingine ambazo ujenzi wake unaendelea kuwa ni hospitali za Halmashauri za Nyasa,Mbinga,madaba na Songea. 

Hata hivyo amesema hali ya upatikanaji wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi kwenye vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Ruvuma imefikia asilimia 96. 

RC Thomas amesema chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita Mkoa umejenga vituo vya afya 12 kupitia fedha za tozo na serikali kuu kwa gharama ya shilingi bilioni 7.8.

Ameongeza kuwa serikali pia imetoa zaidi ya shilingi milioni 856 kujenga nyumba tisa za watumishi wa afya na shilingi milioni 900 zimejenga majengo matatu ya Huduma za dharura (EMD) katika hospitali tatu za Tunduru,Nyasa na Madaba.  

Baadhi ya wabunge akiwemo Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mhandisi Stella Manyanya ameipongeza serikali kwa kuboresha miundombinu na vifaa katika hospitali ya Nyasa ambazo amesema zimesogeza huduma muhimu kwa wananchi. 

Imeandikwa na Albano Midelo wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.