• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 7 kuwekezwa sekta ya Afya Mkoa wa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: March 3rd, 2023

SERIKALI  ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia S. Hassan imetoa bilioni 7 kwa lengo la kuboresha utoaji huduma ya Afya kwa Wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma

Akizungumza mbele ya Wataalamu kutoka Hospitali ya kanda ya Mbeya Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea. Dr, Magafu Majura amesema Hospitali imepokea Shilingi bilioni 7 kukamilisha mipamgo mikakati ya utoaji huduma kwa wananchi.

Dr. Majura amesema fedha hizo zimeelekezwa katika kujenga jengo la wagonjwa wa nje,  jengo la huduma ya mionzi pamoja na nyumba moja  ya mtumishi pia na ukarabati wa jengo la wangonjwa wenye uangalizi maalumu na jengo la dawa

Mbali na ujenzi na ukarabati huo ameeleza kuwa Serikali imeamua kuboresha utoaji  huduma kwa Wananchi kwani imenunua vifaa tiba kimoja wapo ni Mashine ya uchunguzi ya CT-Scan ambayo itahudumia na kutoa matibabu kwa haraka na itasidia kuondoa msongamano wa wangonjwa

“Hii itatusaidia kwa wagongwa watakao hitaji kutibiwa katika Hospitali zetu za kanda na taifa kuweza kuanza kupata matibabu wakiwa bado wapo hapa kwamaana ya kuwasiliama kupitia tiba mtandao na madaktari wabobezi waliopo katika Hospitali zetu kubwa na kutupa majibu” Amesema Dr. Majura

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya kanda ya Mbeya Dkt. Godlove Mwanji amesema Serikali imeamua kuboreha huduma za Afya ili wananchi wawe na uhakika wa kupata matibabu na kuepukana na gharama za kufuta matibabu kwenye hospitali kubwa za kitaifa

“Furaha yetu ni kwamba tumekuta miradi yoye hii imefikia hatua nzuri na siku si nyingi tutarajie kuwa itaanza kuwahudumia Wananchi tumeona vifaa vya kisasa vikitumika kutoa huduma jambo hili ni lakupongeza na kutoa shukrani kwa Serikali”amesema Dkt. Mwanji 

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya magonjwa ya dharula na ajali Dr. Edson Francis ameeleza hali ilivyo sasa baada ya kukamilika kwa jengo hilo la wagonjwa wa dharula ambapo limesaidi kuhudumia wa wagonjwa wengi kwa haraka na kupata matibabu kwa muda mfupi

Hata hivyo Serikali imeboresha upatikanaji huduma mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma kwa nunua mashine ya uchunguzi ya CT-Scan kwa mara ya kwanza ambayo itasaidia Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kutosafiri umbali mrefu Mbeya, Dodoma na Dar es salaamkwaajili ya vipimo.

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.