• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BODI ya Ushauri RRH Ruvuma yazinduliwa

Imewekwa kuanzia tarehe: January 21st, 2025

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imefanya maboresho makubwa ya huduma za afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza kwenye ufunguzi na uzinduzi wa Bodi mpya ya Ushauri ya hospitali hiyo mjini Songea Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Songea Dr.Magafu Majura amesema Katika kipindi cha 2020-2024, serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 8.6 kwa ujenzi wa majengo na ununuzi wa vifaa tiba. 

Ameitaja Miradi iliyotekelezwa  na inayoendelea kuwa ni pamoja na ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje,OPD, wodi ya wagonjwa wa dharura , na jengo la mionzi ambalo limeanza kutumika.

“Maboresho ya hospitali yameongeza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa kiasi kikubwa,Changamoto kuu zinazoikabili hospitali ni pamoja na upungufu wa watumishi kwa asilimia 25,Ukosefu wa baadhi ya dawa ,vifaa tiba na Miundombinu dhaifu katika baadhi ya maeneo”,alisema Majura.

Kwa upande wake mgeni rasmi katika hafla hiyo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed aliyewakilishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Mheshimiwa Michael Mbano amesema lBodi mpya imepewa jukumu la kusimamia huduma bora kwa wananchi, kuimarisha uwajibikaji wa watendaji, na kushughulikia changamoto zilizopo. Hata hivyo amesema Serikali itaendelea kutoa msaada wa rasilimali, mafunzo, na miongozo ili kuhakikisha mafanikio ya bodi.

Ametoa rai kwa Mwenyekiti wa Bodi mpya pamoja na wajumbe kuhakikisha mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu.

Bodi mpya ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma, iliyozinduliwa rasmi,iliundwa Oktoba 8, 2024, unatarajia kumaliza muda wake Septemba 4, 2027.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.