• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CCM Ruvuma yaunga mkono uteuzi wa wagombea

Imewekwa kuanzia tarehe: February 8th, 2025

Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma kimefanya mkutano wa hadhara kwa ajili ya kuunga mkono azimio la mkutano mkuu wa chama hicho la kuwateua Dkt. Samia kuwa mgombea urais, Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza na Dkt. Mwinyi kuwa mgombea urais Zanzibar.

Akizungumza katika mkutano huo ambao umefanyika katika uwanja wa Matarawe mjini Songea, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Ruvuma, Komredi Oddo Mwisho, amesema wana kila sababu ya kuwaunga mkono wagombea hao kutekeleza ilani mbalimbali zilizobaki ili kuhakikisha wananchi wananufaika na rasilimali zilizopo.

Amewasisitiza wanachama kutotumia vibaya nafasi muhimu waliyopatiwa na Dkt. Samia ya kumteua Dkt. Nchimbi kuwa mgombea mwenza kwa kuwa wapo wanaotumia jina la mgombea kuwalaghai wanachama ili wajipatie kura badala yake wote waungane kusapoti juhudi za viongozi hao.

Hata hivyo amewataka wanachama wote awe kiongozi au wa kawaida hasa wanaojiona wanatosha kugombea uongozi kusubiri wakati na utaratibu utakaotolewa na hawatamvumilia yeyote ambaye ataleta jeuri na longolongo kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu.

Naye Katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma, Mohammed Ally, amesema yeye kama mkurugenzi wa uchaguzi wa CCM Ruvuma anakemea chaguzi ambazo zimeanza kwa ajili ya kujaza wajumbe katika mashina na kuwataka kufuata utaratibu wa uchaguzi wa chama hicho.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema ndani ya mkoa wa Ruvuma kuna miradi mingi inayotekelezwa lakini hivi sasa umepata bahati ya kuwa na mradi maalumu ambao mikoa mingine haijapata ambao ni kuteuliwa Dkt. Balozi Emanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza.

Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika Dodoma kwa siku mbili Januari 18 na 19, 2025  ulimpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza pamoja na Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwa mgombea urais Zanzibar kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika mwaka huu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.