• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CCM yatembelea mradi wa maji miji 28 Songea unaogharimu bilioni 145

Imewekwa kuanzia tarehe: January 24th, 2025

CHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji kwa wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mwinyi Msolomi,wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Songea mjini baada ya kutembelea mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa na Mkandarasi kampuni ya China Civil Engineering Contruction Corporation(CCECC).

Mradi huo,unatarajiwa kumaliza kero ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi wa Manispaa ya Songea hasa wanaoishi mtaa wa Sokoine kata ya Bombambili na Making’inda kata ya Msamala ambao mara kwa mara wanapata maji kwa mgao.

Msolomi,ameishukuru Serikali kupitia wizara ya maji na Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Manispaa ya Songea(Souwasa), kuanza kutekeleza mradi huo unaosubiriwa kwa hamu kubwa na wakazi wa Manispaa hiyo na maeneo mengine ya jirani.

Mjumbe wa Kamati hiyo Pascal Msigwa,amefurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo,lakini ameiomba Serikali kuharakikisha ujenzi wake ili wananchi waweze kupata huduma ya maji ya uhakika na kuwaondolea adha ya kupata huduma hiyo kwa mgao.

Msimamizi wa mradi huo kutoka Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Songea mjini(SOUWASA) Vicenti Bahemana alisema,mradi ulianza kutekelezwa mwezi Januari 2024 na unatarajia kukamilika mwezi Septemba 2026.







Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.