• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CHANGAMOTO za mimba za utotoni zinavyofifisha ndoto za watoto wa kike Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: August 18th, 2021

Changamoto ya mimba za utotoni zinavyofifisha ndoto za watoto wa kike Ruvuma

MKOA wa Ruvuma ulipokea taarifa ya matukio 811 ya mimba za utotoni katika kipindi cha mwaka 2020/2021.

Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Ruvuma Mariam Juma  wakati anasoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya jamii kwa Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mwanaidi Ally Khamis.

Amesema kati ya matukio hayo,matukio 644 ni kwa kundi rika la umri wa miaka 16 hadi 17 na  167 ni kwa umri wa miaka kati kati 13 hadi 15.

Amekitaja chanzo cha taarifa hizo ni vituo vya kutolea huduma za afya 752,shule 46 jamii 19.

Hata hivyo amesema Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inaoongoza kwa kuwa na matukio ya mimba 343 sawa na asilimia 42,ikifuatiwa na Wilaya ya Namtumbo matukio 177 sawa na asilimia 21.8,Madaba matukio 109 sawa na asilimia 13.4 na Halmashauri ya Mbinga matukio 101 sawa na asilimia 12.5

“Matukio haya ya mimba za utotoni ,yanatishia usalama wa watoto wa kike,jitihada za kubadili tabia kwa jamii inahitajika ili iwajibike katika ulinzi na usalama wa watoto wa kike’’,alisema Juma.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mheshimiwa Mwanaidi Ally Khamis amesema amesikitishwa na matukio ya mimba za utotoni kwa sababu zinaathiri watoto wa kike kukatisha masomo hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.

Amewashauri viongozi wa dini,wazazi,walezi na jamii kwa ujumla kuwalea watoto katika maadili mema.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Mkoa wa Ruvuma

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.