• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CHUO cha VETA Nyasa kitakavyowakomboa vijana katika stadi mbalimbali

Imewekwa kuanzia tarehe: April 8th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh. Isabela Chilumba, ametembelea na kukagua, Mradi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA, Wilaya ya Nyasa ambao uko hatua za Mwisho za ukamilishaji.

Mh. Chilumba amekagua mradi huu, akiwa na kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Nyasa.

Akizungumza mara baada ya kukagua Mradi huu, Mh Chilumba ameridhishwa na  maendeleo ya ukamilishaji wa Mradi huu, na kusema kuwa anamshukuru Mh. Rais kwa Mradi wa VETA Nyasa,na Viongozi wote na Wananchi kwa ujumla wa Wilaya ya Nyasa kwa Ushirikiano wao wa kutekeleza Mradi mkubwa  wa VETA.

“ Binafsi Nichukue Fursa hii kumshukuru Mungu kwa kufikia hapa, pia nimshukuru aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kutuletea Mradi huu, ambao ni mkubwa na unalengo la kutatua tatizo la Ajira kwa wananchi wa Wilaya ya Nyasa.Pia nashukuru Mh.Rais  Samia Suluhu Hasan na ninamhakikishia kuwa Wilaya ya Nyasa ina uwezo wa kutekeleza Miradi mikubwa ya Maendeleo”.

Aidha ametoa wito kwa wananchi wa wilaya ya Nyasa na Wilaya jirani, kutumia fursa ya Chuo cha Ufundi stadi cha Nyasa pindi kitakapoanza kutoa mafunzo ya Ufundi.

Kukamilika kwa Mradi wa chuo cha Ufundi Stadi Nyasa, Serikali imetatua changamoto ya Chuo cha Ufundi Stadi Wilayani hapa kwa kuwa awali hapakuwepo na chuo hiki na Iliwalazimu wananchi kutembea umbali wa Kilometa 165 kufuata vyuo vya Ufundi stadi Wilaya ya Songea.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.