• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DC Mbinga aagiza kuimarisha elimu ya lishe

Imewekwa kuanzia tarehe: July 11th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo amewataka watendaji Kata wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga kusimamia utekelezaji wa shughuli za lishe katika maeneo yao ili kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii itakayosaidia kuimarisha lishe na kupunguza udumavu nchini.

DC Mangosongo ametoa rai hiyo katika kikao kazi cha tathmini ya Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

" Suala la lishe ni suala mtambuka kila mtu ana wajibu wa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wetu za kuimarisha lishe na kuondoa udumavu nchini"Amebainisha Mangosongo

Aidha amewapongeza watendaji wa Kata za Kipapa,Ukata,Kihanga Mahuka, Maguu,Mkako, Namswea pamoja na Amani Makolo kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa shughuli za lishe katika maeneo yao,amezitaka Kata zilizobaki kuiga mfano huo ili kuleta matokeo bora zaidi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Sambamba na pongezi hizo DC Mangosongo amewataka watendaji hao kuhakikisha wanahamasisha upatikanaji wa huduma ya chakula kwa wanafunzi shuleni ili kuondoa changaomoto ya mahudhurio hafifu yanayopelekea utoro na hata kukatisha masomo na kushuka kwa ufaulu wa wanafunzi.

Kwa upande wake Balozi wa Lishe Wilaya ya Mbinga ambae pia ni Diwani wa Kata ya Kitura Mhe. Alex Ngui amewakumbusha watendaji hao kuazimisha Siku za Lishe katika maeneo yao akisisitiza kuwa siku hizo ni muhimu sana katika kuboresha na kuimarisha afya.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.