• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DED Mbinga asisitiza matumizi ya nishati safi shuleni

Imewekwa kuanzia tarehe: February 16th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Kashushura ameendelea kutoa msisitizo juu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwa Shule zote za Sekondari zilizopo katika Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga akisisitiza kuwa ni Sera ya Serikali katika kutunza mazingira.

Mkurugenzi Kashushura ametoa rai hiyo katika tafrija fupi ya utoaji wa tuzo za taaluma kwa shule za Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Amesisitiza kuwa  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ina makaa ya mawe ambayo hutumika kuzalisha mkaa mbadala ambao ni  mojawapo ya nishati safi ya  kupikia hivyo  amewataka  walimu hao kutumia fursa hiyo ambayo wengi wanatamani kuwa nayo.

"Haiwezekani  tuna rasilimali katika eneo letu alafu bado tuna shangaa shangaa itafikia pointi watu wengine watatoka  katika maeneo mengine kuja kuchukua mzigo huku"Amesema

Kwa upande wake Kaimu Afisa Maliasili na Mazingira  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Chrispine  Haonga ameeleza kuwa Halmashauri  imeendelea kutoa elimu na kuhamasisha  Jamii juu ya matumizi ya nishati safi za kupikia.

Ikumbukwe Julai 11, 2024 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ilikabidhi tani 10 za mkaa  mbadala utokanao na makaa ya mawe kwa shule za msingi 15 na Shule za Sekondari 15.

Akithibitisha faida za matumizi safi ya nishati za kupikia Padre Chistopher Mapunda Mkuu wa Seminari ya Likonde ameeleza kwa miaka mingi Seminari ya Likonde ilikuwa inatumia  kuni kwa ajili ya kupikia hatua ambayo ilipelekea uharibifu  wa misitu lakini kwa sasa Shule inanufaika na matumizi ya  nishati ya mkaa mbadala wa  makaa ya mawe.

Kwa upande wa Shule ya Sekondari Kigonsera  Makamu Mkuu wa Shule  Joseph Komba  ameeleza kuwa kwa sasa shule hiyo imendokana na matumizi ya kuni kwa ajili ya kupikia na badala yake shule inatumia nishati ya gesi pamoja na nishati ya makaa ya mawe.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.