• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

DED NYASA awapa kongole wauguzi

Imewekwa kuanzia tarehe: May 28th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Nyasa Khalid Khalif amewapongeza wauguzi kwa kutekeleza vizuri majukumu yao ya kutoa huduma za afya kwa wananchi.

 Akizungumza na wauguzi,katika Hospitali ya wilaya ya Nyasa amewapongeza wauguzi  kwa kufanya matendo ya huruma na kwa wagonjwa.

Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa Bw.khalid Khalif.

Khalif amewataka wauguzi kufanya kazi kwa bidii na kutoa huduma Bora kwa wananchi, Ili kutatua changamoto ya afya na kuboresha sekta hiyo katika ngazi ya wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

“kazi ya uuguzi ni kazi nyeti, ambayo inasimamia Afya, hivyo Kila muuguzi anatakiwa kusimamia kiapo chake, kwa kutoa huduma bora kwa wananchi, Ili wawe na imani na Serikali katika sekta ya afya’’,alisema.

Ameongeza kuwa Serikali imefanya maboresho makubwa katika sekta ya afya, kwa kujenga miundombinu ya majengo  ya kununua vifaa tiba.

Ametoa wito kwa wauguzi kuchapa kazi kwa bidii wakati Serikali inaendelea kutatua changamoto zinazowakabili.

Hata hivyo amesema Wilaya ya Nyasa inaendelea kutatua changamoto za watumishi wa sekta ya afya kwa kuomba kibali Cha kuajiri wauguzi na kujenga hoja ya watumishi wasiopandishwa madaraja kwa muda mrefu  ili wapandishwe kwa mseleleko.

Awali wakisoma risala yao kwa mgeni rasmi, wauguzi wamesema wanachangamoto ya kuchelewa kupanda Madaraja, upungufu wa nyumba za wauguzi,na kutolipwa kazi ya ziada.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.