• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

ELIMU ya watu wazima itiliwe mkazo

Imewekwa kuanzia tarehe: October 4th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, amesisitiza umuhimu wa maandalizi ya rasilimali watu ili kukuza uchumi wa nchi ambapo amesema ni muhimu kutoa maarifa na ujuzi kwa watu wote ili kuleta ustawi katika jamii.

Akizungumza katika kilele cha maadhimisho ya Juma la Elimu ya watu wazima, ambayo kimkoa imeadhimishwa Wilayani Nyasa, Bi. Mary amesema Nchi yoyote duniani bila kuwa na rasilimali watu ambayo imeandaliwa vema, vigezo vingine haviwezi kuwa na manufaa na maendeleo yanaweza kuwa ni ndoto.

Amebainisha kuwa bado jitihada zinahitajika ili kuongeza idadi ya wanafunzi  na kuimarisha Elimu ya watu wazima kama ilivyo dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha kila msichana aliyekatisha masomo anarejeshwa shuleni.

“Niwaombe ndugu zangu wa Taasisi ya Elimu ya watu wazima Mkoa wa Ruvuma kusimamia uwepo wa madarasa ya kutosha kupitia mradi wa SEQUIP na  kuona umuhimu wa mtoto wa kike anamaliza masomo yake licha ya changamoto anazopitia,” alisema Bi. Mary.

Bi. Mary ametoa rai kwa wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma, maafisa Elimu msingi na sekondari kuhakikisha kuwa Elimu ya watu wazima inatiliwa mkazo kwa kuweka mikakati mizuri ili iweze kutekelezwa vizuri zaidi ya hivi sasa.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri amewataka wanafunzi waliopo katika mradi wa Elimu ya watu wazima kuitumia fursa hiyo vizuri kwa kuwa wanaweza kufanya vizuri na kuwa msaada mkubwa katika maisha yao na jamii kwa ujumla.

Amewashukuru wadau wa Elimu wanaoshirikianana nao na kuwasisitiza wote wanaoshiriki mradi huo ikiwa ni pamoja na walimu kuendelea kutimiza wajibu wao.

Juma la Elimu ya watu wazima ni maadhimisho ya kusherehekea maendeleo na mafanikio ya Elimu ya watu wazima nchini na kufanya tathmini ya shughuli za Elimu ya watu wazima zinazotekelezwa kwa kipindi cha mwaka mzima.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.