• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HALMASHAURI ya Madaba yatoa Mikopo ya zaidi ya shilingi milioni 126

Imewekwa kuanzia tarehe: May 12th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba Wilaya ya Songea imetoa Mkopo wa Bodaboda 5 kwa kikundi cha Kona Bar zenye thamani ya Shilingi milioni 20.

Akisoma taarifa  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed amesema kwa mwaka wa fedha 2021-20022 wamefanikiwa kutoa mikopo kwa vikundi 20  kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 126.

Mohamed amesema vikundi 7 ni vya wanawake vilikopeshwa zaidi ya shilingi milioni 40,vikundi 8 ni vya vijana vilikopeshwa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 74 na vikundi  5 vya watu wenye ulemavu vilikopeshwa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 11.

“Tunatarajia kuendelea kutoa mikopo yenye tija kwa makundi maalumu na kusimamia vikundi  kwa kutumia mikopo katika kuzalisha miradi waliyoombea fedha ili kujenga ufanisi mkubwa wa kurejesha mikopo kwa wakati na kupiga hatua ya maendeleo”.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema amekuwa mgeni rasmi katika hafla ya ugawaji wa Bodaboda hizo amewaasa wanakikundi hao kutii sheria pamoja na kuwa na Leseni ikiwa Pikipiki hizo zimekatiwa bima kubwa.

Mgema amesema asilimia 10 inayopatikana katika mapato ya ndani ya Halmashauri zitumike vizuri kwa wanawake,watu wenye ulemavu pamoja na vijana ili waweze kutumia na kurejesha kwa wakati iliwengine waweze kupata.

”Mikopo iliyokopeshwa ni milioni 126 kwa Halmashauri ndogo ya Madaba kati ya hizo zingine ni za marejesho ya mwaka uliopita kwa kiwango hiki tunaweza kufikia milioni mia tano za kukopesha”.

Katibu wa Kikundi cha Kona Bar Erasto Filemon ameipongeza Serikali kwa kuwapatia Mkopo huo na ameahidi kusimamia kikundi hicho  kurejesha kwa wakati ikiwa ni mkopo wa pili na kupitia mkopo huo wamepata manufaa kwa kuwainua kimaisha vijana wa Madaba.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Habari ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Mai 12,2022

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.