• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HALMASHAURI ya Songea yaongoza Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

Imewekwa kuanzia tarehe: March 9th, 2020

HALMASHAURI ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imekuwa ya kwanza kimkoa katika matokeo ya mashindano ya mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019.

 Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Msaidizi Serikali za Mitaa mkoani Ruvuma Joel Mbewa akitoa taarifa ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 katika kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2020 kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kushirikisha Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma.

Licha ya kushika nafasi ya kwanza kimkoa,Mbewa amesema Halmashauri hiyo pia katika Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019,imekuwa ya nane kikanda na nafasi ya 42 kitaifa.

Mbewa ameitaja Halmashauri ya pili kimkoa kuwa ni Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga,Halmashauri ya Mji Mbinga imeshika nafasi ya tatu,Nyasa ni ya nne,Tunduru ya tano,Namtumbo ya sita,Madaba ya saba na ya mwisho ni Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Hata hivyo Mbewa ameutaja mkakati wa mwaka 2020 katika mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani  Ruvuma ni kuhakikisha kuwa Mkoa unaingia katika mikoa mitano bora.

Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2020 zinatarajiwa kuzinduliwa Mkoa wa Kusini Magharibi Zanzibar Aprili pili,2020,ambapo katika Mkoa wa Ruvuma Mwenge wa Uhuru unatarajia kukimbizwa kuanzia Mei 12,2020 hadi Mei 19,2020.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Machi 9,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.