• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAMATI maadhimisho siku ya kimataifa ya familia Ruvuma ilivyodhamiria kutoa elimu kwa jamii

Imewekwa kuanzia tarehe: May 3rd, 2024

KAMATI ya Maandalizi kuelekea siku ya kimataifa ya familia ya Mkoa wa Ruvuma ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mchungaji Elimu Mwenzegule imedhamiria kuanza kutoa elimu rasmi  kwa jamii kupitia majukwaa mbalimbali kuanzia Mei 6  hadi  Mei 15 mwaka huu.

Kilele cha maadhimisho ya siku ya kimataifa ya familia katika Mkoa wa Ruvuma kinatarajia kufanyika wilayani Namtumbo Mei 15 mwaka huu ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed.

Mchungaji Mwenzegule amesema Kamati hiyo  katika mwezi huu inatarajia kutoa elimu kupitia redio za jamii,kutoa elimu kwa wanafunzi katika shule 16 za msingi na sekondari,kutoa elimu katika misikiti na makanisa na kutoa elimu kwenye mikusanyiko ya  watu.

Kamati hiyo katika maadhimisho ya mwaka huu intarajia kutoa elimu kwa jamii kuhusu malezi chanya ya Watoto na familia kwa kuimarisha uelewa wa malezi na matunzo ya Watoto na wajibu wa wazazi na walezi katika malezi ya Watoto na familia.

Kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya familia mwaka huu inasema “Tukubali tofauti zetu kwenye familia,kuimarisha malezi ya Watoto”.

Kaulimbiu hiyo inawahimiza wazazi na walezi umuhimu  wa kumaliza tofauti zao,kudumisha upendo na amani katika familia  kwa sababu mifarakano katika familia ina athari kubwa kwenye malezi na makuzi ya Watoto.

Taarifa ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Wanawake na Makundi Maalum inaonesha kuwa  katika kipindi cha Julai 2023 hadi Aprili 2024 jumla ya familia 14,600 zilitoa taarifa Ofisi za Ustawi wa Jamii  kuwa na migogoro katika ndoa na mahusiano ya wenza.

Idadi hiyo ya taarifa ni kubwa hivyo inahitajika nguvu ya Pamoja kutoka katika jamii nzima ili kuleta mabadiliko na kupunguza changamoto za malezi na makuzi ya Watoto.

Baadhi ya wanakamati ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya familia Mkoa waa Ruvuma wakiwa kwenye kikao cha maandalizi kuelekea kilele maadhimisho hayo yanayoanzia Mei 6 hadi Mei 15 mwaka huu siku ya kilele


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.