• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAMPENI ya mama Samia Legal Aid yawafikia wananchi milioni 1.3

Imewekwa kuanzia tarehe: February 16th, 2025


Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid , imefanikiwa kutatua migogoro mbalimbali tangu kutekelezwa kwake katika mikoa 17 nchini, ambapo imemnusuru binti alietaka kuozeshwa na wazazi wake Mara baada ya kuhitimu kidato cha nne na kupata ufaulu wa daraja la kwanza, imeelezwa kuwa binti huyo anatarajiwa kuhitimu kidato cha sita mwaka huu 2025.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Damas Ndumbaro, ameeleza kuwa kupitia kampeni hiyo walibaini uwepo wa taarifa ya binti aliehitimu kidato cha nne na kupata ufaulu wa daraja la kwanza Mkoani Shinyanga kutaka kuozeshwa na wazazi wake, hivyo walifanya ufuatiliaji kwa kufika katika harusi hiyo na kuwachukulia hatua za kisheria ambapo binti alifanikiwa kuendelea na masomo ikiwa mwaka huu anatarajiwa kuhitimu kidato cha sita.

Ameeleza kuwa Katika utekelezaji wa kampeni hiyo wamejikita katika utoaji wa elimu ya sheria ili watanzania wapate ufahamu pamoja na utatuzi wa migogoro mbalimbali inayowakabili hususani wanyonge wanaoishi maeneo ya pembezoni mwa nchi ndio maana wamekuwa msaada mkubwa kwao kwani kampeni hiyo ni utekelezaji wa Mpango wa Rais Samia Suluhu Hassani. 

Amesema kampeni hiyo imejikita katika utoaji elimu juu ya masuala ya uraia na utawala bora kwa kushirikiana na Asasi za kiraia, Chama cha Mawakili Tanganyika, pamoja na madawati ya maendeleo ya jamii katika kila Wilaya ili kuhakikisha kampeni hii inakuwa endelevu, kwani inatekelezwa kwa kufuata 4R za Rais Samia Suluhu Hassan, ambazo ni Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi na kujenga upya.

Hadi hivi sasa jumla ya mikoa 17 imekwisha fikiwa na kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia huku akiitaja mikoa mitano inayotarajiwa kufikiwa mapema mwezi huu ambayo ni Mwanza, Lindi, Pwani, Rukwa na Mbeya 

Kampeni hiyo inatekelezwa chini ya kauli mbiu isemayo "Msaada wa kisheria kwa haki, usawa, amani na maendeleo", kwani jamii ikikosa amani hakuna maendeleo, badala ya mwananchi kumtafuta mwanasheria kwasasa mwanasheria ndio anamtafuta mwananchi, hadi hivi Sasa zaidi ya watu milioni 1 na laki 3 wamefikiwa na kampeni hiyo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.