• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KANUNI za urutubishaji chakula zazinduliwa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 3rd, 2025

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, amesema uongezaji wa virutubishi kwenye chakula unalenga kuhakikisha kila mwananchi anapata chakula bora na chenye lishe kwa afya na maendeleo endelevu ya nchi.

Ameyasema hayo wakati akisoma hotuba katika uzinduzi wa kanauni za urutubishaji wa chakula za mwaka 2024 na makabidhiano ya mashine za urutubishaji chakula uliofanyika kitaifa katika ukumbi wa Chandamali manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Amesema uongezaji virutubishi kwenye chakula ni mkakati unaofanyika duniani kote kama njia madhubuti ya kupambana na utapiamlo au magonjwa yanayotokana na upungufu wa Vitamini na Madini, kama vile watoto kuzaliwa na tatizo la kichwa kujaa maji, mgongo wazi na mdomo sungura.

Amesema Serikali imejihakikishia kuwepo kwa teknolojia za uongezaji virutubishi na kuweka mazingira rafiki kwa wazalishaji wote wa chakula ili kufanikisha zoezi, ametoa rai kwa wazalishaji wa unga wa mahindi na ngano na wadau wengine wote kuendelea kurutubisha chakula.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, amesema pamoja na juhudi za kuongeza idadi za mashine za kuongeza mashine za urutubishaji, mkoa wa Ruvuma bado unakabiliwa na changamoto ya uelewa na mwitikio mdogo jamii kuhusu umuhimu wa chakula kilichoongezewa  virutubishi  au vitamin na madini.

Ametoa wito kwa wakurugenzi wa halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma kuhakikisha wanasimamia ipasavyo kanuni za urutubishaji chakula ili zilete matokeo mazuri katika kukabiliana na hali duni ya lishe.

Kwa upande wake mwakilishi wa Waziri wa Afya, Dkt. Saitori Laizer, amesema urutubishaji wa chakula utachochea kupungua kwa kasi vifo vya kina mama wajawazito na wanaojifungua pamoja na watoto wanaozaliwa kwa ajili ya kukosa kinga ya mwili na upungufu wa damu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.