• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KATIBU Tawala Ruvuma awafunda watumishi

Imewekwa kuanzia tarehe: April 3rd, 2024

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Sefu Madenge  ametoa  rai kwa watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kufanya kazi kwa kuzingatia weledi ili waweze kutoa huduma bora kwa wananchi wanaowahudumia.

Madenge ametoa rai hiyo wakati anazungumza na watumishi hao katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea,lengo kubwa la kikao hicho likiwa ni kujitambulisha rasmi kwa watumishi hao baada ya kuhamia Mkoa wa Ruvuma akitokea Mkoa wa Dar es salaam.

Katibu Tawala huyo amewaasa watumishi hao kufanya kazi kwa Pamoja kama timu,kupendana kwa dhati,kusaidiana na kuelewana ili kutekeleza majukumu kwa ufanisi.

“Kila mmoja afanye kazi kulingana na fani yake, fanyeni kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu,busara na kuzingatia misingi ya utumishi wa umma ikiwemo  uwajibikaji’’,alisisitiza Madenge.

Madenge amesisitiza kuimarisha usimamizi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mkoa wa Ruvuma na kusimamia sekta ya elimu ambayo haifanyi vema katika Mkoa wa Ruvuma.

Hata hivyo Katibu Tawala huyo ameagiza kuboreshwa kwa mazingira katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuimarisha usafi katika viunga vya mji wa Songea hali ambayo itavutia watu wengi.

Awali akizungumza kwenye kikao hicho Kaimu Katibu Tawala Msaidizi ,Rasilimali watu Mkoa wa Ruvuma Salum Kateula amesema ofisi ya Mkuu wa Mkoa ina jumla ya watumishi 174 ambao baadhi yao wanafanya kazi katika ofisi za wakuu wa wilaya tano zilizopo mkoani Ruvuma.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.