• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KATIBU Tawala Ruvuma awafunda wauguzi na wakunga

Imewekwa kuanzia tarehe: December 4th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, amewataka wauguzi na wakunga  kujitoa na kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma yao.

Ametoa wito huo wakati akifungua Kongamano la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha Wauguzi (TANNA) Mkoa wa Ruvuma uliofanyika katika ukumbi wa Heritage Cottage mjini Songea.

"Kazi yenu sio rahisi, lakini mtumainie Mungu, mfanye kwa bidii, mjitume, muwe wazalendo, muwapende hao wagonjwa mtaokoa maisha, kazi yenu ni ngumu mnahitaji kujitoa," alisema  Makondo

Ameongeza kuwa  Serikali inatambua umuhimu wa majukumu wanayotekeleza ya kuangalia wagonjwa ambapo changamoto  zinafanyiwa kazi na Serikali, hivyo wawe tayari na kujitoa kuwahudumia wagonjwa.

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dr. Louis Chomboko, amesema kuwa Wauguzi ni nguzo ambayo inabeba majukumu yote katika mzigo wa kuwatunza wagonjwa.

Amesema kama ilivyo kauli mbiu ya Kongamano lao inayosema "Wauguzi Sauti Inayoongoza, Wekeza katika Uuguzi, Heshimu Haki, Linda Afya" Wauguzi hao wamekuwa wakiitekeleza ipasavyo kwa kulinda afya na kuheshimu haki.

Malengo ya Kongamano hilo la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha wauguzi (TANNA) Mkoa wa Ruvuma ni kuhimizana katika umoja na kujitoa katika kuwahudumia wagonjwa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.