• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAYA 1498 Ruvuma kufanyiwa sensa ya kilimo,mifugo na uvuvi

Imewekwa kuanzia tarehe: September 2nd, 2020

Kaya 1498 zimechaguliwa Mkoani Ruvuma  kwa ajili ya Sensa ya kilimo,Uvuvi,na Ufugaji ambayo inafanyika kwa  siku 60 kuanzia Agosti 5 hadi Oktoba 3 mwaka huu.

Hayo yamesemwa  na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma  Seligius Ngai wakati anazungumza baada ya  kukagua zoezi la sense hiyo katika kijiji cha Mbingamhalule wilayani Songea.

Ngai amesema zinahitaji Takwimu rasmi  zinazopatikana kupitia mazoezi kama hayo zinazowezesha kujua kwenye changamoto mbalimbali katika sekta za kilimo,mifugo na uvuvi.

“Serikali inatakiwa kupata Takwimu sahihi inapoandaa mipango yake katika sekta isiwe na takwimu za kufikilika bali iwe na takwimu rasmi kupitia sheria ya 2015 inatoa majukumu kwa wadau wanao hojiwa,na waandishi wa habari na vyombo vyao’’,alisema.

Meneja wa Takwimu Mkoa wa Ruvuma Mwantumu Uhenga amesema zoezi hilo kinafanyika katika Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma na kwamba hii ni mara ya tano kufanyika sensa ya kilimo,mifugo na uvuvi ambayo kwa mara ya kwanza ilifanyika ,mwaka 1974.

Uhenga amesema kutakuwa na madodoso matatu  ambayo ni dodoso la wakulima wadogo,wakulima wakubwa na dodoso la jamii.

 Afisa mahusiano ofisi ya Taifa ya Takwimu Said Ameir amesema sensa ya kilimo,Uvuvi,na Ufugaji  inafanyika ili kutekeleza  maendeleo ya nchi yetu ili kupata takwimu sahihi na mipango sahihi na kwamba matokeo ya sensa hiyo ni muhimu  kwa mwananchi .

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Ofisi ya Habari Mkoa 

31 Agosti 2020.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.