• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KAYA 18,912 zahitimu mpango wa TASAF Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: July 11th, 2024

Jumla ya kaya 18,912 zimehitimu mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Mkoa wa Ruvuma.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Madenge wakati anazungumza kwenye kikao kazi cha waratibu,wahasibu na maafisa ufuatiliaji wa TASAF Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mipango ofisi ya

Mkuu wa Mkoa mjini Songea.

Amesema hadi kufikia Juni 2024 Mkoa wa Ruvuma ulikuwa na Jumla ya kaya 65,089 za walengwa wa TASAF katika vijiji 685.

Hata hivyo Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma amezitaja kaya ambazo zitaendelea na mpango wa TASAF katika Mkoa wa Ruvuma kuwa ni kaya 46,177.

“Serikali imeridhishwa na matokeo hayo kwa kuwa Katika utekelezaji wa shughuli yeyote ya maendeleo inategemea kuona mafanikio na lengo kuu la mpango huu ni kuziwezesha kaya masikini sana kuongeza kipato,fursa na uwezo wa kugharamia mahitaji muhimu’’,alisisitiza.

Madenge amebainisha kuwa TASAF imewezesha fedha za kutosha kwa jamii ambapo ametoa rai kwa wadau kusimamia vya kutosha fedha hizo na kuhakikisha zinaleta tija kwa jamii.

Katibu Tawala huyo amewaagiza waratibu wa TASAF  kufuata taratibu za manunuzi wakati wa utekelezaji wa shughuli za mpango hususan kutumia mfumo wa manunuzi wa NeST kwa manunuzi na mahitaji ya ofisi na mwongozo wa manunuzi ngazi ya jamii utumike ipasavyo.

Maagizo mengine aliyoagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma ni kila Halmashauri kutoa taarifa mapema kwa walengwa ili kuepuka fedha nyingi kurudishwa TASAF Makao makuu wakati wahusika hawapo na magari ya mradi wa TASAF yatumike katika kazi za mradi.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi wa TASAF kutoka Makao makuu Lazaro Mapimo  akizungumza kwenye kikao kazi hicho  amewaagiza waratibu hao kuhakikisha kuwa wanafuata miongozo na kanuni za kiutumishi kwa kuwa TASAF ni mradi wa serikali.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.