• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma aagiza mila na desturi kandamizi kwa wanawake zitokomezwe

Imewekwa kuanzia tarehe: March 9th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ameyataja moja ya maazimio ya kulinda haki za mwanamke ni kutokomeza mila na desturi zinazokandamiza wanawake.

Alikuwa anazungumza  kwenye kilele cha siku ya wanawake Duniani ambazo kimkoa zimefanyika Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ameyata moja ya maazimio ya kulinda haki za mwanamke ni kutokomeza mila na desturi zinazokandamiza wanawake.Alikuwa an azungumza kwenye kilele cha siku ya wanawake Duniani ambazo kimkoa zimefanyika Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songeawakumbusha kutokomeza visababishi vya umaskini katika ngazi ya Kaya na kunyimwa haki katika umiliki wa rasilimali ardhi.

  ‘’Serikali ya awamu ya sita imesimamia kidete katika kulinda haki na kujenga usawa kwa jamii ikiwemo  kumiliki ardhi, kumpiga mwanamke, ubakaji, kutelekeza mwanamke na familia”,alisema.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Ruvuma Xzavelia Mlimira amesema siku hii ya wanawake inatumika kama siku rasmi ya kuikumbusha dunia juu ya haki za wanawake na kuongeza chachu katika harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia.

Akisoma Risala Mwakilishi wa wanawake Mkoa wa Ruvuma Mariamu Juma amesema maadhimisho haya yanakumbusha na kuelimisha jamii juu ya haki za binadamu hususani wanawake na watoto.

 Hata hivyo ameongeza kuwa maadhimisho ya mwaka huu yamejikita katika kauli mbiu inayosaidia kutambua kuwa wanawake na wanaume  wanajukumu la pamoja la kuleta maendeleo kwenye jamii kwa kushiriki katika maeneo mbalimbali yakiwepo ya kimaamuzi kuanzia ngazi za kifamilia hadi Taifa.

kauli mbiu ya siku ya wanawake Duniani mwaka 2022 Kizazi cha Haki na usawa kwa Maendeleo Endelevu; Tujitokeze Kuhesabiwa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Machi 9 2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.