• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

KILIMO kinaongoza kwa fursa nyingi za uwekezaji mkoani Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 16th, 2023

Na Albano Midelo,Songea

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amelitaja eneo lenye fursa nyingi za uwekezaji Ruvuma kuwa ni sekta ya kilimo.

Akizungumza wakati anafungua kongamano la Biashara na Uwekezaji la Mkoa kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea,Kanali Thomas ameyataja mazao makuu ya biashara yanayozalishwa kuwa ni ,kahawa,korosho na tumbaku.

Mazao ya chakula na biashara ameyataja kuwa ni mahindi,ufuta,soya,mbaazi,alizeti,mpunga,maharage,tangawizi na mzao mengine ya bustani.

“Mkoa wa Ruvuma ndiyo mzalishaji mkubwa wa kwanza wa mazao ya nafaka nchini,hata hivyo lengo la Mkoa ni kuzalisha zaidi hivyo tunahitaji uwekezaji kwenye viwanda vya mbolea na viuatilifu kwenye kilimo”,alisema RC Thomas.

Hata hivyo amesema Mkoa wa Ruvuma umetenga maeneo ya uwekezaji katika kilimo cha Pamoja yenye jumla ya hekta 25,017 ambazo zimetambuliwa na zinatakiwa kuwekezwa.

Amesisitiza kuwa Mkoa wa Ruvuma una mazao ya kutosha kuanzisha viwanda vya uchakataji ambapo kwa mwaka 2022/2022 Mkoa ulizalisha tani 25,284.5 za korosho,tani 13,700 za kahawa,tani 7,970.2 za ufuta,tani 5,152.3 za soya,tani 2,846.9 za mbaazi na tani 731,224 za mahindi.

Amesema katika msimu wa mwaka 2022/2023 Mkoa wa Ruvuma umezalishaji tani 1,598,163 za mazao ya chakula hali iliyosababisha Mkoa kuwa na ziada ya chakula tani 1,043,525.

Ameutaja Mkoa wa Ruvuma kuwa una mabonde yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji na kwamba kuna jumla ya hekta 197,108.2 zonazofaa kwa kilimo cha umwagiliaji ambapo hadi sasa ni hekta 7,388.3 tu zilizoendelezwa sawa na asilimia 3.7.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.