• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAADHIMISHO ya Wiki ya Msaada wa Kisheria yafana Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: November 12th, 2021

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema amefunga maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria akimwakilisha MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbaert Ibuge.

Akisoma hotuba yake katika Hafla fupi iliyofanyika katika Bustani ya Manispa ya Songea amesema Huduma ya msaada wa Kisheria inasimamiwa na Sheria ya Msaada wa Kisheria Na.1 ya mwaka 2017.

Amesema kauli mbiu ya Mwaka huu 2021 ni Maboresho Endelevu ya Haki jinai katika Kuimarisha upatikanaji wa Haki Jinai, maadhimisho hayo yamekuwa ya kipekee sana yanasisitiza matumizi na uboreshaji wa mfumo mzima wa haki jinai katika sheria zake.

Mgema ameeleza maboresho hayo  ikiwemo mbadala wa kifungo na kufanya kazi za kijamii kwa makosa ambayo si makubwa,Mkuu wa kitengo cha Polisi ana mamlaka ya kupunguza adhabu chini ya Sheria ya mwenendo wa Makosa ya jinai kifungu cha 170(6).

Amesema Dhamana ni haki ya mtuhumiwa anaposubiri shauri lake kusikilizwa anaweza kuedelea na majukumu yake ya uzalishaji wa Mali na kuinua uchumi wa Taifa.

Hata hivyo amesema faida za kutumia uangalizi wadola katika mahabusu  kusaidia kupunguza mrundikano wa wafungwa na mahabusu katika Magereza nchini ,kupunguza mashauri na kuokoa muda pale mtuhumiwa anapoamriwa kulipa faini Pamoja na kuinua uchumi wanchi  mtu akiwa huru anaweza kufanya majukumu yake.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kishaeria Mkoa wa Ruvuma Naomi amesema Wizara inalenga kuadhimisha Wiki ya Msaada wa Kisheria kwa kushirikiana na wadau wakiwemo Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa kupitia Wasajili wasaidizi wa kutoa huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoaka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Novemba 12,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.