• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAFISA Ugani washauriwa kutoa elimu ya kilimo cha kisasa

Imewekwa kuanzia tarehe: March 4th, 2024

I 

MWENYEKITI wa Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Tunduru (TAMCU) Mussa Manjaule, ametoa rai kwa maafisa  ugani wa chama hicho,kuhakikisha wanakwenda kwa wakulima  kutoa elimu ya kilimo cha kisasa itakayosaidia kuongeza uzalishaji wa mazao 

Manjaule amewashauri wakulima wa zao la korosho,ufuta,mbaazi na mazao  mengine yanayouzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani kujiunga  katika vyama vya msingi vya ushirika ili waweze kupata huduma za ugani kwa urahisi.

Manjaule,ametoa ushauri huo wakati akizungumza na wawakilishi wa wakulima,viongozi wa  AMCOS na watendaji wa Chama kikuu cha Ushirika(TAMCU LTD)katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa chama hicho mjini Tunduru.

Katika hatua nyingine,Manjaule amewaonya vijana kuacha kukaa vijiweni na kucheza kamali,badala yake wajikite katika shughuli za uzalishaji mali ikiwemo kilimo cha korosho  ili waondokane na umaskini.

Afisa Kilimo wa  Chama hicho Grace Evody,amewashauri wakulima kutumia mbegu bora zinazostahimii magonjwa na hali ya ukame,badala ya kununua mbegu za mitaani zinazotoa mavuno kidogo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa Bodi ya Korosho Tanzania(TCB) tawi la Tunduru Samwel Kambona alisema,wameaanza kusajili wakulima wote wa korosho kwa lengo la kuwatambua na kupata idadi kamili  wanaostahili kupata  pembejeo za ruzuku.

Kambona,amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kutoa ruzuku ya asilimia 100 kwa wakulima wa korosho na kusisitiza kuwa,nje ya mfumo huo hakuna mkulima atakayepata viautilifu vya ruzuku.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.