• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAGIZO 12 ya kikao kazi cha Serikali Mtandao kwa wakuu wa Taasisi nchini

Imewekwa kuanzia tarehe: February 14th, 2023

MAAZIMIO 12 YA KIKAO CHA TATU CHA SERIKALI MTANDAO KILICHOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA AICC JIJINI ARUSHA KUANZIA TAREHE 8/2/2023 HADI 10/2/2023

Maazimio hayo ndiyo maagizo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Jenista Mhagama kwa wakuu wa Taasisi na watumishi wa umma nchini  wakati anafunga kikao kazi hicho jijini Arusha.

1.Taasisi za Umma ziwajibike kutumia TEHAMA katika utoaji wa huduma kwa wananchi kwa njia ya kidijitali ili kuboresha utendaji kazi wa Taasisi

2.Taasisi za umma zihakikishe  zinaendesha shughuli za kawaida za Taasisi kidijitali kama vile uendeshaji wa vikao vya menejimenti,Bodi,Halmashauri na vikao vya mabaraza ya madiwani ili kupunguza matumizi ya karatasi.

3.Kila Taasisi ya umma ihakikishe tovuti ya Taasisi inakuwa na taarifa zilizouhisishwa na  zinazoendana na wakati muda wote pia tovuti hizo ziboreshwe ili kuendana na teknolojia ya kisasa.

4.Taasisi za umma zitoe kipaumbele katika masuala ya  utafiti na ubunifu kwenye eneo la TEHAMA ili kuibua mifumo ya TEHAMA itakayowezesha Taifa kuendana na kasi ya maendeleo ya viwanda ikiwemo kutenga rasilimali fedha kwa ajili ya  ubunifu.

5.EGA kwa kushirikiana na Taasisi za umma iendelee kujenga mifumo shirikishi na mifumo ya kisekta katika jitihada za kupunguza upungufu wa mifumo kwenye utumishi wa umma.

6.Wakuu wa Taasisi za umma wanalazimika kujiunga kwenye mfumo mkuu wa serikali wa kubadilishana taarifa ili  kuwezesha mifumo kubadilishana taarifa.

7.Taasisi za umma zinalazimika kuhifadhi mifumo yao kwenye vituo vya kuhifadhi data za serikali vilivyoidhinishwa na Mamlaka ya serikali Mtandao ili kupunguza gharama na kuongeza usalama.

Aidha usalama wa mifumo uliokwishajengwa uendelee kuimarishwa ikiwa ni Pamoja na kuwa na vituo vya kujikinga na majanga

8.Wakuu wa Taasisi za umma wasimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria ya mtandao namba kumi ya mwaka 2019 na kanuni zake za mwaka 2020 hasa uanzishwaji wa Kamati za Uongozi wa TEHAMA na kusimamia utendaji kazi wa Kamati hizo

9.Serikali ianzishe utaratibu wa kuwafanyia upekuzi  Pamoja na matamko ya kiapo  watumishi wa TEHAMA kwa kuwa wanasimamia mifumo na data nyeti za serikali.

10.Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi iweke mkakati wa kuandaa wanafunzi wa  vyuo vya elimu ya Juu katika kufanya ubunifu  kwenye masuala ya serikali mtandao  na TEHAMA kwa ujumla.

11.Serikali iwekeze na kuanza kutengeneza vifaa vya TEHAMA hapa nchini

12.Mifumo ya TEHAMA ya serikali inayojengwa iwe endelevu ili  kuepuka kubadilisha mifumo mara kwa mara kwa kuwa hadi mfumo kuanza kutumika kunakuwa na uwekezaji mkubwa.

Watumishi wa umma 1600 kutoka mikoa yote nchini walishiriki kikao kazi hicho wakiwemo makatibu Tawala wa mikoa yote,wakuregenzi,wawakilishi kutoka Zanzibar ,wakuu wa Taasisi za serikali na watumishi wengine wa umma.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.