• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAANDAMANO vijana wa CCM Nyasa kumuunga mkono Rais Samia

Imewekwa kuanzia tarehe: January 22nd, 2025

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyasa  mkoani Ruvuma wamefanya maandamano ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuwa mgombea urais mwaka 2025 kupitia CCM, pamoja na kumshukuru kwa kumteua Dkt. Emmanuely Nchimbi kuwa mgombea mwenza.

Maandamano hayo yaliandaliwa kuunga mkono maazimio ya Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM uliofanyika hivi karibuni jijini Dodoma, ambapo wajumbe walimchagua Dkt. Samia kuwa mgombea urais wa Tanzania Bara, Dkt. Nchimbi kuwa mgombea mwenza, na Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia CCM kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa kufunga maandamano hayo, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Nyasa, Komredi Clavian Matembo, alisema wamefurahishwa na maamuzi ya chama na wanaunga mkono uteuzi wa Dkt. Samia na Dkt. Nchimbi. Alisema, “Tunaamini maazimio haya ni ya busara, na Umoja wa Vijana wa Nyasa tuko pamoja na chama chetu katika safari hii.”

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Bara, CDE Mussa Mwakitinya, aliwapongeza vijana wa Nyasa kwa kuandaa maandamano ya amani kama ishara ya kuunga mkono maamuzi ya chama.

Mbunge wa Jimbo la Nyasa, Mhandisi Stella Manyanya, amefurahishwa na uteuzi wa Dkt. Samia, akisema kuwa wananchi wa Nyasa wana imani kubwa naye kutokana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo aliyosimamia.

Maandamano hayo yalianzia katika ofisi ya CCM Nyasa, yakapitia maeneo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na barabara ya mzunguko, stendi kuu ya Mbamba Bay, na Baylive, kisha kurudi ofisi kuu ya CCM Nyasa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • SEKONDARI ya Dkt.Samia alama ya maendeleo Namtumbo

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.