• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADABA walivyopanda maelfu ya miti

Imewekwa kuanzia tarehe: November 16th, 2023

HIFADHI ya Misitu Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mkoa wa Ruvuma inajumla ya hekta 39,718 zilizoundwa kwa safu tatu Ifinga,Mkongotema na Wino.

Akisoma taarifa hiyo Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Fotunatus katika kikao cha wadau wa misitu kilichofanyika leo Novemba 10,2023 katika ukumbi wa Amani Madaba.

Amesema hekta 13,140 zimehifadhiwa kwaajili ya vyanzo vya maji ,misitu ya asili na mabondeni kwaajili ya wanyama na viumbe hai wengingi.

Fotunatus amesema msitu huo umeanza kuendelezwa mwaka 2010 ukihusisha eneo dogo safu ya Wino na mwaka 2014 walienedeleza safu ya Ifinga na Mkongotema.

Hata hivyo Muhifadhi Mkuu amesema wameendelea kuongeza eneo la upandaji miti kila mwaka hekta 400 hadi 500,ufugaji wa nyuki,misitu na mazingira yote ya asili na vyanzo vya maji ili kuhakikisha uhifadhi unakuwa endelevu kwa kizazi cha sasa na baadae.

“Kwa kuanzisha maliasili na vyanzo vya maji vinatunzwa kama mto lupahila,mnywamasi,mwesa,Lutukila,Mgombezi,Kineneka,kipilili,balali mapacha,chechengu,mito inayofikisha maji yake ziwa nyasa na mto Rufiji”.

Amesema uhifadhi huo unasaidia kuongeza ajira za kudumu na mkataba kila mwaka ikiwa eneo la upandaji linaongezeka na  mazao ya biashara kama nguzo za umeme, ufugaji wa nyuki ili kuongeza mapato ya Serikali.

“Tunaboresha mazingira na madhari ukipita ndani ya hifadhi utapata hali nzuri ya hewa na kupunguza hewa okaa na kuvutia mazingira ikiwa kuanzia Mwaka 2010 hadi 2023 imepandwa hetka 6463 ya miti”.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • SEKONDARI ya Dkt.Samia alama ya maendeleo Namtumbo

    June 01, 2025
  • MUONEKANO wa baadhi ya majengo ya hospitali ya Manispaa ya Songea

    June 01, 2025
  • RUSHWA ni adui wa haki

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.