• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADABA waongoza kimkoa mithani wa Taifa kidato cha nne

Imewekwa kuanzia tarehe: March 3rd, 2024

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri  ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma  Sajidu Idrisa Mohamed amewapongeza wakuu wa shule za Sekondari kwa kuongoza Kimkoa kwa matokeo ya mtihani wa Taifa kidato cha pili na kidato cha nne mwaka 2023.

Sajid ametoa pongezi hizo wakati anazungumza katika kikao cha tathmini ya Elimu katika Halmashauri hiyo kilichojumuisha wakuu wa shule za sekondari ambacho kimefanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo mjini Madaba.

Halmashauri ya Madaba imekuwa ya kwanza kati ya Halmashauri nane zilizopo mkoani Ruvuma ambazo ni Halmashauri ya Manispaa ya Songea,Halmashauri ya Namtumbo,Tunduru,Nyasa,Halmashauri ya Songea,Mbinga Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

Licha ya matokeo hayo Mkurugenzi huyo amekitaka kikao hicho kuweka mikakati ya pamoja ya mwaka 2024 ili kuhakikisha Halmashauri hiyo inaendelea kufanya vizuri katika taaluma.

“Kwa kutumia kikao hiki mnaweza kubadilishana uzoefu na kujifunza kutoka shule ambazo zimefanya vizuri ikiwemo Sekondari ya wasichana Feo,St Monica na Mahanje Sekondari ili tuweze kufanya vizuri zaidi”,alisisitiza Sajidu.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya wasichana ya Feo Jemaida Erenest ameitaja siri ya shule hiyo kufanya vizuri mitihani ya kitaifa ya kidato cha pili na kidato cha nne ni kumaliza mada kwa wakati, kutoa mazoezi ya kutosha,kuwatia moyo walimu na wanafunzi,kutoa motisha kwa walimu pamoja na kufuatilia ratiba zote za walimu.

Naye Makamu Mkuu wa Shule ya  St.Monica Florence Mhuwa amezitaja mbinu wanazotumia  kufanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa kuwa ni  vizuri wanafunzi kuwapa mitihani mingi ya ndani na nje,kufanya tathmini,kuwasimamia wanafunzi katika masomo na kutoa motisha kwa wanafunzi wanaofanya vizuri .

Baadhi ya wakuu wa shule za sekondari katika Halmashauri ya Madaba wakiwa kwenye kikao cha tathmini ya elimu


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.