• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADABA watoa elimu ya lishe kwa vijana 365 na wazee 137

Imewekwa kuanzia tarehe: February 7th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba  wilayani Songea mkoani Ruvuma wamefanya kikao cha tathimini ya Mkataba wa Lishe cha robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Akitoa taarifa ya mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa Lishe kwa kipindi cha robo ya pili Afisa Lishe Jovenary Ndelagi amesema wamefanikiwa kufanya tathimini  na kutoa elimu ya lishe na mtindo bora wa maisha kwa vijana rika balehe 365 katika shule  tatu za Msingi na shule mbili  za Sekondari.

Amesema wamefanikiwa kutoa elimu ya lishe kwa wazee 137 katika maadhimisho ya wiki ya wazee Duniani Oktoba  Mosi 2023, katika ,Kata ya Lituta,pamoja na usambazaji wa matone ya vitamini A katika vituo 21 vya  kutolea huduma ya afya kwa watoto wenye umri wa miezi 6 hadi 59.

Ndelagi amesema wamefanikiwa kutoa elimu ya lishe kwa vikundi vya wanawake vitano juu ya ulaji na mtindo bora wa maisha katika vijiji 3 Madaba,Lituta na Kipingo.

“Katika  kipindi hicho tumefanikiwa  kutoa elimu kwa wanaume 354 juu ya ushiriki wa wanaume katika matunzo ya wanawake wajawazito,wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka mitano katika kijiji cha Ngadinda,Ifinga na Mbangamawe”

Hata hivyo ameitaja mikakati waliyojiwekea ili waweze kuboresha na kuifikia jamii kwa uwigo mpana zaidi ikiwa Halmashauri imetenga fedha kupitia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ili kufanya mafunzo rejea ya kuwajengea uwezo wahudumu wa afya ngazi ya jamii.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama Ndile amewaagiza watendaji Kata kutoa elimu katika siku maalumu za lishe kwa kubadilishana Kata ili kutilia mkazo katika Jamii suala la Lishe..

Ndile ameagiza kuboresha lishe kwa watoto  kuanzia chekechea hadi Sekondari  ambapo amesisitiza elimu ya Kujitegemea ipewe kipaumbele  hasa kila shule kuanzisha bustani ya mboga

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.