• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADIWANI Songea DC, wamepanga kudhibiti upotevu wa mapato

Imewekwa kuanzia tarehe: September 28th, 2022

Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya songea wamefanya kikao cha kupokea taarifa ya hesabu za Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha ulioishia 30, juni 2022

Kikoa hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa  Halmashauri ya Wilaya Songea Mhe, Menasi Komba  ambapo kimeudhuriwa na mkuu wa wilaya hiyo Mhe, Pololet Mgema, watumishi pamoja na madiwani.

Taarifa ya hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa mwaka wa Fedha ulioishia 30, juni 2022 inaonesha Halmashauri imevuka malengo ya ukanyaji mapato kwa kukusanya jumla ya Zaidi ya asilimia 123 na kushika nafasi ya tano kitaifa kiukusanyaji mapato.

Naye Muhasibu wa Halmashauri mwandamizi Viviano Ndunguru akiwasilisha na kuisoma taarifa hiyo ya mbele ya baraza la madiwani wa Halmashauri hiyo amesema kuwa kwa mujibu wa Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa Halmashauri zote nchini zinatakiwa kufunga hesabu na kuwasilisha kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za seikali (CAG)  

“kazi ya ufungaji wa hesabu kwa mwaka 2021/2022 ilianza tarehe 10 july na imekamilika tarehe 25 sept 2022 taarifa hii inaonyesha taarifa ya mapato na matumizi katika Halmashauri, taarifa zimetolewa katika mfumo wa muse kama muongozo wa ufungaji hesabu ambao ni mfumo utumikao serikalini” alisema Viviano. 

Naye Filbert  Mendrad Soko ambaye Diwani wa Kata ya Liganga iliyopo halmashauri ya Songea, amesema kuwa taarifa hiyo wao kama madiwani wameipokea vizuri hivyo matarajio yao ni kuendelee Zaidi kufanya vizuri katika ukusanyaji mapato katika mwaka wa fedha ujao. 

“Matarajio yetu sasa kwa mwaka huu wa fedha 22/23 kukusanya fedha Zaidi ya mapato ya ndani kwasababu bajeti yetu ya ndani imevuka na kuangalia mianya  yote inayotorosha mapato kuweza kidhibiti ili kuweza kufikia lengo  itakapofikia juni 2023”alisema Soko.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.