• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAFUZO ya Sensa kwa Makarani na Wasimamizi wa Maudhui yameanza rasmi Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: August 1st, 2022

MAFUNZO ya Sensa ngazi ya Wilaya kwa awamu ya tatu yameanza rasmi Mkoani Ruvuma kwa Makarani na wasimamizi wa Maudhui.

Hayo ameyasema Mratibu wa Sensa wa Mkoa wa Ruvuma Mwantumu Athumani baada ya kutembelea katika Halmashauri ya Songea na Manispaa ya Songea .

“Mafunzo Ngazi ya tatu yameanza na yatafanyika kwa siku 19 kila siku bila kupumzika na kuhusisha nadharia na vitendo”.

Mratibu amesema mafunzo hayo yamejumuisha na watendaji kata kwa siku mbili ili wakahakikishe wanafanya uhamasishaji kwa wananchi.

Hata hivyo ametoa rai kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma wawe tayari kuhesabiwa ikiwemo kupata taarifa za watu watakaolala kwenye kaya ikiwa ni pamoja na wageni wahesabiwe mara moja tu.

Aidha mratibu amesema wananchi wahakikishe wanaweka vitamburisho vya Taifa, vya kupigia kura pamoja na vya ujasiliamali viandaliwe ikiwa moja ya karani afikapo kuchukua taarifa aweze kuchukua taarifa kwa urahisi.

Kwa Upande wake Mtendaji kata ya Fedeferm Manispaa ya Songea Afidhi Bakariamesema zoezi la Sensa na watu na Makazi kwa mara ya kwanza linafanyika kwa mfumo wa kidigitali hivyo Serikali imewekeza fedha nyingi.

Bakari ametoa rai kwa Watendaji  Kata wote Nchini  washiriki mafunzo na watambue kinachoenda kufanyika katika Kata na Mitaa  yote.

“Watendaji wenzangu tuhakikishe watu wote katika Kata na Mitaa wanahesabiwa itakuwa si busara  watu wakashindwa kuhesabaiwa kwa sababu Serikali imewekeza Fedha nyingi”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Julai 31,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2022
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2022
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 July 31, 2025
  • OR TAMISEMI yatoa Mwongozo kwa wanafunzi wa kidato cha Tano kubadilisha Shule tahasusi June 06, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • IBUGE Akabidhi ofisi rasmi

    August 06, 2022
  • RUVUMA Kinara chanjo ya UVIKO 19

    August 06, 2022
  • JENERALI Ibuge akabidhi ofisi kwa Kanali Laban

    August 06, 2022
  • WAKULIMA Ruvuma wajifunza teknolojia Mpya

    August 05, 2022
  • Tazama zote

Video

UFUNGUZI WA MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI NA WASIAMAMIZI WA MAUDHUHI
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.