• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAKAMU wa Rais mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: November 19th, 2024

Makamu wa Rais Dkt.Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yanafanyika katika uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Hayo yamesemwa na Mkuu  wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed  wakati anatoa taarifa ya maadhimisho hayo kwa wanahabari ofisini kwake mjini Songea.

“Kwa mwaka 2024 maadhimisho hayo yataanza Novemba 21 hadi Desemba Mosi 2024 ambayo itakuwa ni kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI kitaifa mkoani Ruvuma’’,alisema.

Amebainisha kuwa katika maadhimisho hayo,shughuli mbalimbali  za afya na kijamii zitatolewa katika uwanja wa Majimaji na  nje ya uwanja kwenye Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma katika wiki yote ya maadhimisho.

Kaulimbiu ya maadhimisho kwa mwaka huu inasema chagua njia sahihi,tokomeza UKIMWI ambapo Mkuu wa Mkoa ameitaja kaulimbiu hiyo inakumbusha ;kuzingatia njia sahihi za kitaalamu katika kujikinga na maambukizi ya  virusi vya UKIMWI ili kuweza kutokomeza janga la UKIMIWI ifikapo mwaka 2030.

Kanali Abbas ameyataja malengo mahusisi ya maadhimisho hayo kuwa ni kutoa  fursa ya kutathmini hali halisi ya mwelekeo wa kudhibiti Virusi vya UKIMWI kitaifa na kimataifa,kuhamasisha na kuelimisha jamii kuhusu udhibiti wa maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.

Malengo mengine ameyataja kuwa ni kuendelea kuhimiza  huduma stahiki kwa watu wanaoishi na maambukizi ya VVU na kuwakumbuka wale wote waliopoteza Maisha kutokana na UKIMWI na kuendelea kufanya uraghabishi kwa viongozi wa serikali na wadau wa maendeleo ili kuhakikisha ajenda ya UKIMWI inaendelea kuwa vipaumbele vya Mkoa na serikali .

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.